Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
NYOSSO ASEMA YANGA WALITOKA KIBAHATI MKWAKWANI

NYOSSO ASEMA YANGA WALITOKA KIBAHATI MKWAKWANI

NYOSSO ASEMA YANGA WALITOKA KIBAHATI MKWAKWANI NYOSSO AKIMDHIBITI KAVUMBAGU HIYO JUZI Beki wa Coastal Union, Juma Said Nyosso amesema Yanga walikuwa na bahati zaidi katika mechi yao jana. Nyosso amesema walikuwa na nafasi kubwa ya kuifunga Yanga kwa kuwa waliizidi sana. Lakini ak
0 comments
LOGARUSIC ATAKA WANAJESHI WASIOKATA TAMAA

LOGARUSIC ATAKA WANAJESHI WASIOKATA TAMAA

LOGARUSIC ATAKA WANAJESHI WASIOKATA TAMAA Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic amesema anataka kuwa na wachezaji wenye moyo wa ushindani na wasiokubali kushindwa. Logarusic amesema anaamini kuwa na washindani katika kikosi chake ni jambo la msingi zaidi, na haamini watu wanaokat
0 comments
SERIKALI YATAKIWA KUONDOA KWENYE VIFAA VYA UJENZI WA NYUMBA.

SERIKALI YATAKIWA KUONDOA KWENYE VIFAA VYA UJENZI WA NYUMBA.

SERIKALI YATAKIWA KUONDOA KWENYE VIFAA VYA UJENZI WA NYUMBA. MWENYEKITI  wa kamati ya   kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasiri na Mazingira James Lambeli Na Elizabeth Kilindi,Mkinga. MWENYEKITI  wa kamati ya   kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasiri
0 comments
Diwani aliyewekwa ndani na DC ajiuzulu

Diwani aliyewekwa ndani na DC ajiuzulu

Diwani aliyewekwa ndani na DC ajiuzulu  DIWANI wa Kata ya Mswaha-Darajani, Tarafa ya Mombo, Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga (CCM), Aweso Kipaku (34), amejiuzulu nafasi hiyo akipinga hatua ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Bw. Mrisho Gambo, kumuweka ndani. Akizungu
0 comments
Serikali kuendeleza viwanda nchini

Serikali kuendeleza viwanda nchini

Serikali kuendeleza viwanda nchini   SERIKALI imeahidi itaendelea kusaidia sekta ya viwanda, hususani vya ndani kwa kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ili kuhakikisha vinasaidia kutoa mchango katika kukuza uchumi na maendeleo ya jamii. Akizumgumza katika sherehe ya kukabidhiw
0 comments
Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya

Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya

Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya Rais Jakaya Kikwete amesema ili kuhakikisha sekta ya kilimo inapiga hatua lazima ugunduzi wa teknolojia mpya zinazogunduliwa zitumike kwa vitendo. 
0 comments
Majalada kesi yasombwa na mafuriko Moro

Majalada kesi yasombwa na mafuriko Moro

Majalada kesi yasombwa na mafuriko Moro Wakati Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Mwanzo Magole, Fredy Mbogela akisema kesi zote zilizokuwa zikisikilizwa katika mahakama hiyo ambayo imesombwa na maji pamoja na mafaili yote, zitaanza upy
0 comments
Deni la Taifa linapaa, serikalini ni matanuzi

Deni la Taifa linapaa, serikalini ni matanuzi

Deni la Taifa linapaa, serikalini ni matanuzi Hivi karibuni The Citizen liliandika habari ya kushtua katika ukurasa wa mbele, likielezea wasiwasi wa wataalamu na mabingwa kadhaa wa masuala ya uchumi kuwa, Tanzania inakabiliwa na janga
0 comments
MKWAKWANI KUKARABATIWA TENA BAADA YA KUMALIZIKA MZUNGUKO WA PILI WA LIGI KUU

MKWAKWANI KUKARABATIWA TENA BAADA YA KUMALIZIKA MZUNGUKO WA PILI WA LIGI KUU

MKWAKWANI KUKARABATIWA TENA BAADA YA KUMALIZIKA MZUNGUKO WA PILI WA LIGI KUU Na Oscar Assenga, Tanga. UONGOZI wa Uwanja wa Mkwakwani umesema awamu ya pili ya ukarabati wa uwanja huo unatarajiwa kufanyika mara baada ya kumalizika mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara mwaka huu leng
0 comments
DK.KIGWANGALLA HATARINI KUVULIWA UANACHAMA CCM

DK.KIGWANGALLA HATARINI KUVULIWA UANACHAMA CCM

DK.KIGWANGALLA HATARINI KUVULIWA UANACHAMA CCM Dar es Salaam. Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge. Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Nzega mkoa
0 comments
WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA

WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA

WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA   Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii Mhe. Said Mtanga akitambulisha wajumbe wa Kamati yake kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Bibi Chiku Ngalawa wakati wa ufuatiliaji wa fedha y
0 comments
CHANETA YAWANOA WALIMU TANGA

CHANETA YAWANOA WALIMU TANGA

CHANETA YAWANOA WALIMU TANGA CHAMA cha Netiboli (CHANETA) Mkoa wa Tanga, kimeanza kutoa semina ya walimu wa michezo kutoka wilaya zote, lengo likiwa ni kuwaandaa kwa ajili ya kufundisha kwenye michezo ya Umitashumta na Umisseta mkoani Tanga.   Akizungumza jijini hapa juzi,
0 comments
BREAKING NEEEWZZZZ!!!!! NDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA

BREAKING NEEEWZZZZ!!!!! NDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA

BREAKING NEEEWZZZZ!!!!! NDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA Ndege ya shirika la Zan Air imeanguka Pemba jioni hii ikiwa imebeba jumla ya abiria 19, miongoni mwa abiria hao pia alikuwamo Waziri wa Habari na Katiba wa Zanzibar mhe. Abubakar Kahamis, abiria wote wametoka salama.  
0 comments
RAIS KIKWETE NA NAIBU RAIS WA KENYA MHE WILLIAM RUTO

RAIS KIKWETE NA NAIBU RAIS WA KENYA MHE WILLIAM RUTO

RAIS KIKWETE NA NAIBU RAIS WA KENYA MHE WILLIAM RUTO Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa baadhi ya viongozi wa Kenya na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto walipowasili kwa pamoja katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi leo Ijumaa January 24, 2014.
0 comments
WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA

WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA

WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA   Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii Mhe. Said Mtanga akitambulisha wajumbe wa Kamati yake kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Bibi Chiku Ngalawa wakati wa ufuatiliaji wa fedha y
0 comments
Chaneta Tanga yatoa semina kwa walimu wa mchezo huo

Chaneta Tanga yatoa semina kwa walimu wa mchezo huo

Chaneta Tanga yatoa semina kwa walimu wa mchezo huo Na Safari Chuwa,Tanga.   CHAMA cha Mpira wa Pete Mkoa wa Tanga,(Chaneta)kimeanza kutoa semina ya walimu wa mchezo toka wilaya zote za mkoa wa Tanga lengo likiwa ni kuwaanda walimu hao kwa ajili ya kufundisha kwenye m
0 comments
MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA MZEE MAKAMBA

MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA MZEE MAKAMBA

MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA MZEE MAKAMBA   Mzee Yusufu Makamba akishauriana jambo na mwanae January Makamba wakati wa shughuli za mazishi zikiendelea. Mzee Yusufu Makamba amefiwa na mama yake mzazi aliyefahamika kama Mariam Mas
0 comments
MAMA KIKWETE ASISITIZA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI KUTOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO

MAMA KIKWETE ASISITIZA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI KUTOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO

MAMA KIKWETE ASISITIZA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI KUTOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO Na Magreth Kinabo – Maelezo Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka Watanzania kuongeza juhudi za kuzuia maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi(VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mt
0 comments
SHOMARI KAPOMBE ANUKIA YANGA, WAKALA WAKE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA

SHOMARI KAPOMBE ANUKIA YANGA, WAKALA WAKE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA

SHOMARI KAPOMBE ANUKIA YANGA, WAKALA WAKE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KAPOMBE AKIWA AS CANNES NA GALLAS Baada ya chenga za hapa na pale, kila kitu sasa kimewekwa hadharani kwamba beki wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, ametaka mkataba wake na AS Cannes ya Ufaransa uvunjwe na imeelez
0 comments
MAMIA YA WAMZIKA DEUSDEDIT MTAMBALIKE

MAMIA YA WAMZIKA DEUSDEDIT MTAMBALIKE

MAMIA YA WAMZIKA DEUSDEDIT MTAMBALIKE   Jaji Mstaafu Mark Bomani,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mh.Stephen Wassira ni miongoni mwa viongozi mbali m
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger