Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
Jeshi la Polisi wilayani Handeni lashukuru msaada wa sare za Ulinzi Shirikishi

Jeshi la Polisi wilayani Handeni lashukuru msaada wa sare za Ulinzi Shirikishi

Jeshi la Polisi wilayani Handeni lashukuru msaada wa sare za Ulinzi Shirikishi Na Kambi Mbwana, Aliyekuwa Handeni MKUU wa Jeshi la Polisi wilayani Handeni, mkoani Tanga, OCD Zuberi Chembera, amewashukuru wadau waliojitokeza kusaidiana na jeshi lao kuhakikisha kuwa kunaanzishwa Polisi jamii.
0 comments
TANZANIA NAYO YAJITOSA KUMSAIDIA RUTO HUKO ICC..!!

TANZANIA NAYO YAJITOSA KUMSAIDIA RUTO HUKO ICC..!!

TANZANIA NAYO YAJITOSA KUMSAIDIA RUTO HUKO ICC..!! Serikali ya Tanzania, imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuruhusu Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto kutohudhuria baadhi ya mashauri ya kesi yake ili kuweza kutimiza majukumu mengine ya kiserikali. Mwanasheria Mkuu wa Tanzan
0 comments
MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO NCHINI BRAZIL

MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO NCHINI BRAZIL

MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO NCHINI BRAZIL Msanii wa Bongo muvi ambaye pia aliwah kuwa mke wa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu Mohamed Mpakanjia bibie Aisha Bui anadaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya  nchini Brazil.. Mtandao huu bado unafatili
0 comments
WANAUME VIJANA 20'S-30 MNABOA SANA...HAMTUFIKISHI MNATUPAKA VUMBI TU

WANAUME VIJANA 20'S-30 MNABOA SANA...HAMTUFIKISHI MNATUPAKA VUMBI TU

WANAUME VIJANA 20'S-30 MNABOA SANA...HAMTUFIKISHI MNATUPAKA VUMBI TU Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!   Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizur
0 comments
CCM yajisalimisha kwa Tundu Lissu baada ya kuiomba mahakama ifute Rufaa ya kupinga ubunge wake.

CCM yajisalimisha kwa Tundu Lissu baada ya kuiomba mahakama ifute Rufaa ya kupinga ubunge wake.

CCM yajisalimisha kwa Tundu Lissu baada ya kuiomba mahakama ifute Rufaa ya kupinga ubunge wake.   WAKATI rufaa ya kupinga ubunge wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) ikitarajiwa kuanza kusikilizwa katika Mahakama ya Rufaa Dodoma, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia W
0 comments
MWANAMKE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AKIWA AMEYAFICHA KWENYE MIMBA BANDIA.

MWANAMKE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AKIWA AMEYAFICHA KWENYE MIMBA BANDIA.

MWANAMKE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AKIWA AMEYAFICHA KWENYE MIMBA BANDIA.   Kila kukicha vita dhidi ya biashara haramu ya dawa za kulevya inazidi kupamba moto, wakati mataifa mbalimbali yakizidi kuimarisha udhibiti wa biashara hiyo, na wafanyabiashara wanazidi kuja na mbinu mpya
0 comments
JK katika mtihani wa Katiba Mpya;

JK katika mtihani wa Katiba Mpya;

JK katika mtihani wa Katiba Mpya; Wakati Rais Jakaya Kikwete akisubiriwa asaini Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa 2013 ili kuwa sheria kamili, wasomi, wanasiasa na wanaharakati wamemshauri asifanye hivyo, wakisema itapatika
0 comments
Taasisi ya WAMA yakabidhi Gari la Wagonjwa Hospitali ya Sokoine Mkoa wa Lindi

Taasisi ya WAMA yakabidhi Gari la Wagonjwa Hospitali ya Sokoine Mkoa wa Lindi

Taasisi ya WAMA yakabidhi Gari la Wagonjwa Hospitali ya Sokoine Mkoa wa Lindi Mke wa Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo(WAMA) Mama Salma Kikwete akitoa risala fupi wakati wa halfa ya kukabidhi gari la
0 comments
Magazeti ya leo September 13 Udaku, Michezo na Hardnews

Magazeti ya leo September 13 Udaku, Michezo na Hardnews

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
0 comments
Urusi yasema amani yawezekana Syria

Urusi yasema amani yawezekana Syria

Urusi yasema amani yawezekana Syria Sergei Lavrov na John Kerry wanakutana Geneva Uswisi kujadiliana kwa kina kuhusu mpango uliopendekezwa na Urusi katika kuzishughulikia silaha za sumu za utawala wa Assad  Mawaziri wa nje wa Urusi na Marekani Sergei Lavrov na John Kerry Urusi
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger