Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
DK.KIGWANGALLA HATARINI KUVULIWA UANACHAMA CCM

DK.KIGWANGALLA HATARINI KUVULIWA UANACHAMA CCM

DK.KIGWANGALLA HATARINI KUVULIWA UANACHAMA CCM Dar es Salaam. Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge. Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Nzega mkoa
0 comments
WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA

WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA

WABUNGE WAFUATILIA MIRADI YA WANAWAKE TANGA   Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii Mhe. Said Mtanga akitambulisha wajumbe wa Kamati yake kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Bibi Chiku Ngalawa wakati wa ufuatiliaji wa fedha y
0 comments
CHANETA YAWANOA WALIMU TANGA

CHANETA YAWANOA WALIMU TANGA

CHANETA YAWANOA WALIMU TANGA CHAMA cha Netiboli (CHANETA) Mkoa wa Tanga, kimeanza kutoa semina ya walimu wa michezo kutoka wilaya zote, lengo likiwa ni kuwaandaa kwa ajili ya kufundisha kwenye michezo ya Umitashumta na Umisseta mkoani Tanga.   Akizungumza jijini hapa juzi,
0 comments
BREAKING NEEEWZZZZ!!!!! NDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA

BREAKING NEEEWZZZZ!!!!! NDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA

BREAKING NEEEWZZZZ!!!!! NDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA Ndege ya shirika la Zan Air imeanguka Pemba jioni hii ikiwa imebeba jumla ya abiria 19, miongoni mwa abiria hao pia alikuwamo Waziri wa Habari na Katiba wa Zanzibar mhe. Abubakar Kahamis, abiria wote wametoka salama.  
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger