Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
MWIGIZAJI WA FILAMU ATAPA JERAHA BAADA KUJERUHIWA NA CHUPA KATIKA UKUMBI WA STAREHE WA CLB BILLICANAS JIJINI DAR ES SALAAM.

MWIGIZAJI WA FILAMU ATAPA JERAHA BAADA KUJERUHIWA NA CHUPA KATIKA UKUMBI WA STAREHE WA CLB BILLICANAS JIJINI DAR ES SALAAM.

MWIGIZAJI WA FILAMU ATAPA JERAHA BAADA KUJERUHIWA NA CHUPA KATIKA UKUMBI WA STAREHE WA CLB BILLICANAS JIJINI DAR ES SALAAM.  Mwigizaji wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Aunty Ezekiel akiwa anauguza jeraha la kidonda baada ya kudaiwa kujeruhiwa na chupa katika ukumbi wa starehe wa Club
0 comments
MAJANGA ARSENAL, PODOLSKI NJE WIKI TATU...RAMSEY NA WILSHERE NAO 'TIA TIA MAJI'

MAJANGA ARSENAL, PODOLSKI NJE WIKI TATU...RAMSEY NA WILSHERE NAO 'TIA TIA MAJI'

MAJANGA ARSENAL, PODOLSKI NJE WIKI TATU...RAMSEY NA WILSHERE NAO 'TIA TIA MAJI' MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Lukas Podolski ataukosa mchezo wa Jumapili wa wapinzani wa London Kaskazini, dhidi ya Tottenham baada ya kuumia nyama katika mchezo wa Ligi ya Mabinwa jana dhidi ya Fenerbahce.   &n
0 comments
ETO'O KUTUA CHELSEA NDANI YA SAA 48...MOURINHO ANAMKUBALI KULIKO WOTE TORRES, BA NA LUKAKU

ETO'O KUTUA CHELSEA NDANI YA SAA 48...MOURINHO ANAMKUBALI KULIKO WOTE TORRES, BA NA LUKAKU

ETO'O KUTUA CHELSEA NDANI YA SAA 48...MOURINHO ANAMKUBALI KULIKO WOTE TORRES, BA NA LUKAKU KLABU ya Chelsea iko katika hatua za mwishoni za kukamilisha usajili wa Samuel Eto'o kutoka Anzhi Makhachkala na dili hilo linaweza kukamilika ndani ya saa 48. Tayari wamekwishamsajili Willian kuto
0 comments
JESHI LA POLISI LAMWAGA AJIRA.

JESHI LA POLISI LAMWAGA AJIRA.

               JESHI LA POLISI LAMWAGA AJIRA. JESHI la Polisi nchini, limetangaza ajira mpya kwa vijana waliohitimu kidato cha nne na sita mwaka jana. Taarifa za jeshi hilo, ambazo zimewekwa kwenye mtandao wa jeshi hilo,
0 comments
WANAUME WAWILI HUKO KENYA WAKUBALI KUMUOA MWANAMKE MMOJA.

WANAUME WAWILI HUKO KENYA WAKUBALI KUMUOA MWANAMKE MMOJA.

WANAUME WAWILI HUKO KENYA WAKUBALI KUMUOA MWANAMKE MMOJA.   Wanaume wawili nchini Kenya wameibuka na mbinu isiyo ya kawaida ya kupata suluhu ya kupigania mwanamke ambaye wote wanampenda kwa  kusaini mkataba wakikubaliana kuishi nae kwa zamu.  Silvester Mwendwa ni mmoja wa wa
0 comments
MBUNGE WA JIMBO LA RUNGWE MAGHARIBI, PROFESA DAVID MWAKYUSA ACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 40 KWA AJILI YA UJENZI WA KANISA LA SABATO LA SWEBO- NTOKELA WILAYANI RUNGWE.

MBUNGE WA JIMBO LA RUNGWE MAGHARIBI, PROFESA DAVID MWAKYUSA ACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 40 KWA AJILI YA UJENZI WA KANISA LA SABATO LA SWEBO- NTOKELA WILAYANI RUNGWE.

MBUNGE WA JIMBO LA RUNGWE MAGHARIBI, PROFESA DAVID MWAKYUSA ACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 40 KWA AJILI YA UJENZI WA KANISA LA SABATO LA SWEBO- NTOKELA WILAYANI RUNGWE. Mbunge wa Jimbo la Rungwe Magharibi Profesa David Mwakyusa akizungumza na waumini wa kanisa la Wasabato wa Swebo Ntoke
0 comments
TASAF II ilivyogeuza changamoto ya uhaba wa chakula kuwa fursa ya uchumi na maendeleo kwa wananchi wa korogwe vijijini

TASAF II ilivyogeuza changamoto ya uhaba wa chakula kuwa fursa ya uchumi na maendeleo kwa wananchi wa korogwe vijijini

TASAF II ilivyogeuza changamoto ya uhaba wa chakula kuwa fursa ya uchumi na maendeleo kwa wananchi wa korogwe vijijini  Mzee Rajabu Kufa mlemavu wa macho na mkazi wa kijiji cha Kwetonge kilichopo kata ya Mashewa mmoja wa wakazi wa Korogwe ambao wamenufaika na mradi wa TASAF II wa
0 comments
Jinsi uboreshwaji wa Miundo Mbinu Mkoani Tanga umesaidia kukuza Uchumi

Jinsi uboreshwaji wa Miundo Mbinu Mkoani Tanga umesaidia kukuza Uchumi

Jinsi uboreshwaji wa Miundo Mbinu Mkoani Tanga umesaidia kukuza Uchumi  Mkoa wa Tanga umejaliwa kwa kuwa na ardhi nzuri na yenye rutuba, fukwe nzuri za bahari za kihistoria, safu za milima ya Usambara inayovutia, mabonde na maporomoko mazuri ya maji  na mbuga za wanyama ambazo huvu
0 comments
Raia wa Rwanda ateswa na kuachiliwa Uganda

Raia wa Rwanda ateswa na kuachiliwa Uganda

 Raia wa Rwanda ateswa na kuachiliwa Uganda Mkimbizi mmoja raia wa Rwanda ambaye alitoweka nchini Uganda wiki iliyopita amepatikana akiwa hana ufahamu baada ya kuteswa. Maafisa wa serikali ya Uganda wanasema kuwa waliomteka Pascal Manirakiza, walimdhulumu kabla y
0 comments
Marekani yapima mikakati ya kijeshi dhidi ya Syria

Marekani yapima mikakati ya kijeshi dhidi ya Syria

Marekani yapima mikakati ya kijeshi dhidi ya Syria Kufuatia shambulizi la silaha za sumu lililoua mamia nchini Syria, yaonekana muda wa kutafuta suluhu ya muafaka umekwisha. Marekani inaona msitari mwekundu umevukwa, na inapima uwezekano wa kuingilia kijeshi.  Baada ya kutok
0 comments
WAGOSI WA NDIMA WAJA LEO WARUDI LEO

WAGOSI WA NDIMA WAJA LEO WARUDI LEO

                          HABARI ZA ASUBUHI TANGA, WAGOSI WA NDIMA WAJA LEO WARUDI LEO             KUNAPOPAMBAZUKA
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger