Featured Post Today
print this page
Latest Post

TASWIRA YA MAPOKEZI YA MHE ZITTO ZUBERI KABWE NAMNA ALIVYOPOKELEWA HIVI PUNDE KIGOMA

TASWIRA YA MAPOKEZI YA MHE ZITTO ZUBERI KABWE NAMNA ALIVYOPOKELEWA HIVI PUNDE KIGOMA

Mbunge wa Kigoma kaskani Mh Zitto Kabwe akisalimiana na wakazi wa Kigoma mara baada ya Kuwasili kigoma asubuhi ambapoa wakazi wa kigoma wamejitokeza kwa wingi kumpokea Mbunge wao.

Zitto Kabwe akiwa katika gari la wazi mara baada ya kutua kigoma asubuhii ambapo amepata mapokezi ya kishindo


wafuasi wa Zitto kabwe wakiwa katika maandamano..
 

































0 comments

BASI LA ALLYS YAUA ABIRIA SABA JANA USIKU BUHONGWA-MWANZA.


Basi la kampuni ya Allys Sport Bus linalosafirisha abiria kutoka Dar es Salaam na Mwanza likiwa limeacha njia na kupinduka baada ya kutokea ajali inayodaiwa kusababishwa na basi la Shabiby lililokuwa likitokea mkoani Dodoma kwenda Dar es Salaam na kusababisha mabasi matatu kuacha njia katika eneo la Mkundi Makunganya barabaraba kuu Dodoma-Morogoro ambapo katika ajali hizo zaidi ya abiria 40 walijeruhiwa mkoani Morogoro. PICHA MAKTBA/MTANDA BLOG.  WATU saba wamekufa papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa baada ya basi la Allys linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam hadi Mwanza kugongana uso kwa uso na daladala katika eneo la Buhongwa mkoani Mwanza.
0 comments

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAFANYIKA MKOANI TANGA LEO.

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAFANYIKA MKOANI TANGA LEO.

 katikati waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais Mazingira Mh Ddkt Terezya Huvisa kulia ni katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Sazi Salula na kushoto ni katibu mpya wa Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Isaya Kisiri,katika kikao cha Baraza la wafanyakazi la ofisi hiyo mjini Tanga leo.
Waliokaa, katikaTi ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mh. Dkt Terezya Huvisa katika picha ya pamoja na wajumbe wa baraza jipya la wafanyakazi la Ofisi hiyo jijini Tanga leo..
 Wajumbe wa baraza jipya la wafanyakazi kutoka ofisi ya makamu wa rais katika kikao cha baraza hilo mjini tanga leo.
.Picha na Evelyn Mkokoi.
0 comments
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger