Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
Wilaya 31 za Tanzania zakutwa na madini ikiwamo wilaya ya Handeni na Kilindi mkoaani Tanga

Wilaya 31 za Tanzania zakutwa na madini ikiwamo wilaya ya Handeni na Kilindi mkoaani Tanga

Wilaya 31 za Tanzania zakutwa na madini ikiwamo wilaya ya Handeni na Kilindi mkoaani Tanga Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo Wilaya 31 nchini zimegundulika kuwa na madini ya aina mbalimbali kutokana na utafiti uliofanywa na Wakala wa Jiolojia nchin
0 comments
NYOTA WATATU COASTAL UNION WAPATA ULAJI OMAN, NI NYOSSO, SANTO NA DANNY LYANGA

NYOTA WATATU COASTAL UNION WAPATA ULAJI OMAN, NI NYOSSO, SANTO NA DANNY LYANGA

NYOTA WATATU COASTAL UNION WAPATA ULAJI OMAN, NI NYOSSO, SANTO NA DANNY LYANGA Na Mahmoud Zubeiry, Muscat WACHEZAJI watatu wa timu ya soka ya Coastal Union ya Tanga, beki Juma Nyosso, kiungo Jerry Santo na mshambuliaji Danny Lyanga wanatakiwa na klabu ya Al Musannaa ya Ligi Kuu ya Oman, im
0 comments
SHILOLE AWACHANA MASTAA WABEBA UNGA

SHILOLE AWACHANA MASTAA WABEBA UNGA

SHILOLE AWACHANA MASTAA WABEBA UNGA        Stori: Shani Ramadhani STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewachana wasanii wanaojihusisha na madawa ya kulevya kuwa ni wavivu. Akizungumza na paparazi wetu pasipo kuwataja majina, Shilole alisema wasa
0 comments
WALIOFELI KIDATO CHA PILI KUENDELEA NA MASOMO KIDATO CHA TATU

WALIOFELI KIDATO CHA PILI KUENDELEA NA MASOMO KIDATO CHA TATU

WALIOFELI KIDATO CHA PILI KUENDELEA NA MASOMO KIDATO CHA TATU  Wakati Watanzania wakisubiri matokeo ya kidato cha pili mwaka 2013, imebaini kuwa Serikali imetoa agizo kwamba wanafunzi wote waliofeli mtihani huo kuendelea na masomo ya kidato cha tatu, huku wakisoma mafunzo ya kurudia
0 comments
MANJI AWAOMBA WADHAMINI WA KLABU KUANGALIA UPYA MKATABA WA AZAM TV

MANJI AWAOMBA WADHAMINI WA KLABU KUANGALIA UPYA MKATABA WA AZAM TV

MANJI AWAOMBA WADHAMINI WA KLABU KUANGALIA UPYA MKATABA WA AZAM TV Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji amewaomba wadhamini wa klabu hiyo, kuangalia upya mkataba wa Azam TV, kwani kwake yeye binafsi anauona hauna manufaa kwa klabu yao amb
0 comments
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- - Mulugo ameondoshwa rasmi serika
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger