Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
Wanamgambo wa Nigeria wauwa watu 33

Wanamgambo wa Nigeria wauwa watu 33

Wanamgambo wa Nigeria wauwa watu 33 Mabaki ya chuo cha serikali ambapo wanafunzi 60 walichomwa moto hadi kufa Februari 25, 2014  
0 comments
Ufaransa yataka kuepusha kugawika kwa taifa la CAR

Ufaransa yataka kuepusha kugawika kwa taifa la CAR

Ufaransa yataka kuepusha kugawika kwa taifa la CAR Rais wa Ufaransa Francois Hollande  Rais wa Ufaransa ameiambia Jamhuri ya Afrika ya Kati, wanajeshi wa Ufaransa walioko huko watafanyakazi kuiepusha nchi hiyo isigawike, na kuwapokonya silaha wanamgambo na makundi ya wahalifu wana
0 comments
Mataifa ya magharibi kuisusia Urusi kisiasa

Mataifa ya magharibi kuisusia Urusi kisiasa

Mataifa ya magharibi kuisusia Urusi kisiasa Viongozi nchini Ukraine  Balozi wa Ukraine katika Umoja wa Mataifa ameomba kikao cha dharura cha Baraza la Usalama ili kufanya kila linalowezekana kuzuwia uvamizi wa Urusi, wakati vikosi vya jeshi la nchi hiyo vikidhibiti jimbo la Crimea.&n
0 comments
AUA KIKONGWE ,NAYE AUAWA

AUA KIKONGWE ,NAYE AUAWA

AUA KIKONGWE ,NAYE AUAWA    Kilindi. Kijana mmoja mkazi wa Kijiji cha Mabalanga wilayani Kilindi, Hassani Said (28) amemuua kwa kumkata na jembe kichwani bibi yake, lakini baadaye akauawa na wananchi wa eneo hilo. Akizungumza na gazeti hili
0 comments
SARUMAGAO WAJIANDAA KUANDAMANA

SARUMAGAO WAJIANDAA KUANDAMANA

SARUMAGAO WAJIANDAA KUANDAMANA Mgogoro wa wakazi wa Sarumagaoni Halmashauri ya Jiji la Tanga, wanaodai kutokana na kuhamishwa katika eneo hilo umeingia katika sura mpya baada wakazi hao kutishia kuandamana hadi ofisi za mkuu wa mkoa. Eneo la Sarumagaoni
0 comments
DC DENDEGO AMKABIDHI ZAWADI MFANYAKAZI BORA MWEZI WA KWANZA HOTEL YA TANGA BEACH

DC DENDEGO AMKABIDHI ZAWADI MFANYAKAZI BORA MWEZI WA KWANZA HOTEL YA TANGA BEACH

DC DENDEGO AMKABIDHI ZAWADI MFANYAKAZI BORA MWEZI WA KWANZA HOTEL YA TANGA BEACH Kushoto ni Mfanyakazi bora wa mwezi wa kwanza katika hotel ya Tanga Beach Resort jijini Tanga kutoka kitengo cha Upishi akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego kwenye halfa ya kuwa
0 comments
WABUNGE WAWALIPUA BONGO MOVIES WASEMA NI OMBA OMBA BALAA

WABUNGE WAWALIPUA BONGO MOVIES WASEMA NI OMBA OMBA BALAA

WABUNGE WAWALIPUA BONGO MOVIES WASEMA NI OMBA OMBA BALAA        SKENDO nzito ya Bongo Muvi imeibuliwa na baadhi ya wabunge waliopo mjini Dodoma kufuatia kuwalipua wasanii wake kuwa, ni ombaomba balaa, Risasi Jumamosi lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa wabunge hao amba
0 comments
UKATILI:MTOTO ABURUZWA NYUMA YA PIKIPIKI NA BABA YAKE KISA HAJAENDA SHULE

UKATILI:MTOTO ABURUZWA NYUMA YA PIKIPIKI NA BABA YAKE KISA HAJAENDA SHULE

UKATILI:MTOTO ABURUZWA NYUMA YA PIKIPIKI NA BABA YAKE KISA HAJAENDA SHULE    Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza ku
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger