Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
MKURUGENZI WA VIJANA TAIFA ATOA SEMINA KWA VIJANA MKOA WA TANGA.

MKURUGENZI WA VIJANA TAIFA ATOA SEMINA KWA VIJANA MKOA WA TANGA.

Mgeni rasmi Bw. Ramadhani  Kaswa, Mkuu wa kitengo cha Mipango  katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa akifungua semina hiyo. Bw. Kaswa amemwakilisha Katibu Tawala Mkoa. Kaimu Afisa Vijana Mkoa wa Tanga Bi Digna Tesha akiteta jambo wakati wa semina Profesa Elisante Ole Gabrie
0 comments
Ukimya mjini Cairo, idadi ya vifo yaongezeka

Ukimya mjini Cairo, idadi ya vifo yaongezeka

Mji mkuu wa Misri Cairo unaripotiwa kuwa na utulivu asubuhi ya leo, baada ya operesheni ya kijeshi hapo jana, ambayo iliuwa watu zaidi ya 525. Udugu wa kiislamu umepanga maandamano zaidi mchana wa leo. Asubuhi ya leo mitaa ya Cairo ambayo kwa kawaida huwa na msongamano mkubwa wa magari ilik
0 comments
MKUU WA MKOA WA TANGA AMSWEKA LUPANGO MKAGUZI WA HALMASHAURI YA PANGANI.

MKUU WA MKOA WA TANGA AMSWEKA LUPANGO MKAGUZI WA HALMASHAURI YA PANGANI.

MKUU wa mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Chiku Gallawa, amemuweka rumande Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Najim Mpate, kwa madai ya kumdharau wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani. Tukio hilo lilitokea jana wakati Mpate alipokuwa anatoa maelezo kufuatia hoja za Mkaguz
0 comments
ENKI YA CRDB YATANGAZA NEEMA YA MIKOPO YA NYUMBA

ENKI YA CRDB YATANGAZA NEEMA YA MIKOPO YA NYUMBA

Benki ya CRDB yatangaza neema ya mkopo wa nyumba kwa wateja wao Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei, akizungumza na wadau mbalimbali katika akizindua Mikopo ya nyumba ijulikanayo kwa jina la Jijenge itakayotolewa na benki hiyo, Dar es Salaam jana. Na Kambi Mbwana, Dar es
0 comments
JAMAA AMDUNDA MKEWE NA KUSABABISHA KIFO

JAMAA AMDUNDA MKEWE NA KUSABABISHA KIFO

UKATILI:! JAMAA MMOJA MKAAZI WA NAMTUMBO MKOANI RUVUMA AMUUA MKEWE! SOMA KISA HAPA         Huu ni moja ya ukatili kwa kina mama(Picha na maktaba)   Na Steven Augustino wa Demashonews Namtumbo,    Mfugaji wa Jamii ya Kisukum
0 comments
TRAFIKI FEKI ALIVYONASWA JIJINI DAR ES SALAAM

TRAFIKI FEKI ALIVYONASWA JIJINI DAR ES SALAAM

TRAFIK FEKI ANASWA JIJINI DAR ES SALAAM MAENEO YA KINYEREZI.KILA MOJA ANA NJIA YAKE YA KUTAFUTA HELA BHANA!!  Askari Bandia wa Kikosi cha Usalama Barabarani aliyekamatwa jana mchana maeneo ya Kinyelezi Mnara,Tabata jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya sare zake mara baara ya k
0 comments
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MKOA WA TANGA YAPANIA KUBORESHA HUDUMA ZAKE

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MKOA WA TANGA YAPANIA KUBORESHA HUDUMA ZAKE

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE
0 comments
meza ya magazeti leo alhamisi

meza ya magazeti leo alhamisi

0 comments
Makunga, Kibanda wana kesi ya kujibu

Makunga, Kibanda wana kesi ya kujibu

Meneja Uendeshaji Biashara wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), The
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger