Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
Waafrika milioni 200 wanalala na njaa kila siku

Waafrika milioni 200 wanalala na njaa kila siku

Waafrika milioni 200 wanalala na njaa kila siku  Wataalamu wa kiafrika, wakulima na wadau wamekamilisha siku mbili za majadiliano kuhusu njia za kulisha idadi ya watu wanaoongezeka katika bara hilo na kupambana na mabadiliko ya h
0 comments
Magufuli, Mwakyembe, Lukuvi....!

Magufuli, Mwakyembe, Lukuvi....!

Magufuli, Mwakyembe, Lukuvi....!   Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akitoa hoja yake wakati kamati hiyo ilipokutana na Shirika la Nyumba nchini (NHC) jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Mbunge wa viti Maalum (C
0 comments
Tamasha la Fiesta kuendelea Agosti 23 Ijumaa hii mkoani Tabora

Tamasha la Fiesta kuendelea Agosti 23 Ijumaa hii mkoani Tabora

Tamasha la Fiesta kuendelea Agosti 23 Ijumaa hii mkoani Tabora Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam.   TAMASHA la muziki nchini linalojulikana kama Fiesta 2013, linatatarajiwa kufanyika Agosti 23 mwaka huu mkoani Tabora kwa ajili ya kuwapatia burudani za aina yake. Linah, mkali wa Bongo F
0 comments
Kamanda wa wa Polisi Mkoani MBEYA DIWAN ATHUMAN Ametoa vyeti kwa madereva wa pikipiki maarufu kama Bodaboda zaidi ya 151 wa Igurusi Wilaya ya Mbarali.

Kamanda wa wa Polisi Mkoani MBEYA DIWAN ATHUMAN Ametoa vyeti kwa madereva wa pikipiki maarufu kama Bodaboda zaidi ya 151 wa Igurusi Wilaya ya Mbarali.

Kamanda wa wa Polisi Mkoani MBEYA DIWAN ATHUMAN Ametoa vyeti kwa madereva wa pikipiki maarufu kama Bodaboda zaidi ya 151 wa Igurusi Wilaya ya Mbarali. Madereva Bodaboda wakijipanga tayari kwa kwenda kupokea vyeti vyao Madereva Bodaboda wakiandamana kuelekea kupokea vyeti vyao toka kw
0 comments
MOURINHO AENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAIFUMUA ASTON VILLA 2-1

MOURINHO AENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAIFUMUA ASTON VILLA 2-1

MOURINHO AENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAIFUMUA ASTON VILLA 2-1  Pointi tatu: Chelsea wakishangilia baada ya kushinda 2-1 jana   Ivanovic akifunga bo la ushindi   Jose Mourinho akizinguana na kocha mpinzani wake, Paul Lambert  &nbs
0 comments
KUTANA NA BINADAMU MNENE KULIKO WOTE DUNIANI!!

KUTANA NA BINADAMU MNENE KULIKO WOTE DUNIANI!!

KUTANA NA BINADAMU MNENE KULIKO WOTE DUNIANI!! Mfalme wa Saudi Arabia, ameingilia kati mpango wa kumsaidia Raia wa nchi hiyo, Khalid bin Mohsen Shaari ambaye ndiye binadamu mnene na mzito zaidi duniani akiwa na uzito wa kilogram 610, katika mchakato wa kumtibu na kumrudisha katika hali nzur
0 comments
Wakurugenzi 70 Vinara Mtandao wa Ufisadi

Wakurugenzi 70 Vinara Mtandao wa Ufisadi

Wakurugenzi 70 Vinara Mtandao wa Ufisadi. Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda KAMATI ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imebaini mtandao wa ufisadi unaoshirikisha wakurugenzi 70 wa halmashauri mbalimbali hapa nchini ambao wanashirikiana na baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Tawala za M
0 comments
Watendaji Redio za Jamii Nchini Wajengewe Uwezo – Usia Nkhoma

Watendaji Redio za Jamii Nchini Wajengewe Uwezo – Usia Nkhoma

Watendaji Redio za Jamii Nchini Wajengewe Uwezo – Usia Nkhoma Mwezeshaji kutoka Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mtaifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama akionesha baadhi ya machapisho ya Umoja wa Mataifa ambayo yatawasaidia katika kuandika habari zao kiufasaha. Afisa Habari
0 comments
Operesheni Ondoa Wahamiaji Haramu Kuanza Kanda ya Ziwa

Operesheni Ondoa Wahamiaji Haramu Kuanza Kanda ya Ziwa

Operesheni Ondoa Wahamiaji Haramu Kuanza Kanda ya Ziwa  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu wahamiaji haramu waliorejea kwao baada ya agizo la Rais Jakaya Kiwete alilolitoa Juni 29, mwaka huu katika ziara ya
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger