Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
WAGANDA WAHOJI FIFA OKWI KWENDA YANGA

WAGANDA WAHOJI FIFA OKWI KWENDA YANGA

WAGANDA WAHOJI FIFA OKWI KWENDA YANGA Uongozi wa Shirikisho la Soka la Uganda (Fufa) umendika barua kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kutaka kujua uhakika kuhusiana na mshambuliaji Emmanuel Okwi kuuzwa Yanga. Taarifa zinasema katika mtandao wa MTNfootball kwamba OKwi alij
0 comments
AZAM FC WAFUNGA 'SOFA ZA HATARI' CHAMAZI, KOMBE LA SHIRIKISHO PALE PALE MWAKANI

AZAM FC WAFUNGA 'SOFA ZA HATARI' CHAMAZI, KOMBE LA SHIRIKISHO PALE PALE MWAKANI

AZAM FC WAFUNGA 'SOFA ZA HATARI' CHAMAZI, KOMBE LA SHIRIKISHO PALE PALE MWAKANI Mafundi wakiendelea na zoezi la uwekaji wa viti vya kisasa katika majukwaa ya Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi, Dar es Salaam. Klabu ya Azam inataka kuutumia Uwanja huo kwa michuano ya Afrika pia mwakani na
0 comments
SIMBA SC KAMILI GADO ZENJI, LOGARUSIC RAHA TU IVO NA OMWANWA NDANI YA NYUMBA, YANGA WAANDAE KAPU JUMAMOSI TAIFA

SIMBA SC KAMILI GADO ZENJI, LOGARUSIC RAHA TU IVO NA OMWANWA NDANI YA NYUMBA, YANGA WAANDAE KAPU JUMAMOSI TAIFA

SIMBA SC KAMILI GADO ZENJI, LOGARUSIC RAHA TU IVO NA OMWANWA NDANI YA NYUMBA, YANGA WAANDAE KAPU JUMAMOSI TAIFA Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam KIKOSI cha Simba SC kimekamilika kambini eneo la Chukwani, Zanzibar kufuatia wachezaji wapya kutoka Gor Mahia ya Kenya, kipa Ivon Philip Mapunda na
0 comments
DK. SLAA AWAHIMIZA WANACHUO KUTUMIA ELIMU YAO THABITI KUWAAMSHA WANATABORA DHIDI YA ELIMU YA MAENDELEO, SOMA ZAIDI HAPA

DK. SLAA AWAHIMIZA WANACHUO KUTUMIA ELIMU YAO THABITI KUWAAMSHA WANATABORA DHIDI YA ELIMU YA MAENDELEO, SOMA ZAIDI HAPA

DK. SLAA AWAHIMIZA WANACHUO KUTUMIA ELIMU YAO THABITI KUWAAMSHA WANATABORA DHIDI YA ELIMU YA MAENDELEO, SOMA ZAIDI HAPA Dk. Slaa, katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Akiongena kwa takribani masaa mawili na wanachuo kikuu kishiriki cha SAUT leo jioni katika ofisi za kanda
0 comments
TAZAMA PICHA JINSI ILIVYOKUWA NDANI YA PANTONI BAADA YA KIVUKO KUPOTEZA MWELEKEO MCHANA WA LEO

TAZAMA PICHA JINSI ILIVYOKUWA NDANI YA PANTONI BAADA YA KIVUKO KUPOTEZA MWELEKEO MCHANA WA LEO

TAZAMA PICHA JINSI ILIVYOKUWA NDANI YA PANTONI BAADA YA KIVUKO KUPOTEZA MWELEKEO MCHANA WA LEO Ilikuwa ni mida ya saa nane mchana ambapo Pantoni kubwa ya Mv. Magogoni ikiwa imesheheni abiria ikiwavusha kutokea Posta kuelekea Kigamboni , ilipatwa na wakati mgumu baada ya kushindwa kut
0 comments
KENYA YAFIKIA PABAYA MACHANGU DOA WAANDAMANA KUDAI HAKI ZAO.

KENYA YAFIKIA PABAYA MACHANGU DOA WAANDAMANA KUDAI HAKI ZAO.

KENYA YAFIKIA PABAYA MACHANGU DOA WAANDAMANA KUDAI HAKI ZAO. Makahaba mjini Nairobi Kenya waliungana na wenzao duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga unyanyasaji dhidi yao. Waliandamana Jumanne kulalamikia kile wanachosema ni unyanyasaji wanaofanyiwa na polisi pamoja na
0 comments

"KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO.." LULU AFUNGUKA

"KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO.." LULU AFUNGUKA SURA ya mauzo katika sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’  ametoa ya moyoni kuwa kama siyo kuwekwa nyuma ya nondo za Mahabusu ya Segerea, Dar basi yangemkuta mazito. Lulu alikaa Gereza la Segerea kwa takribani miezi k
0 comments
MILIONI 20 KUTUMIKA UKARABATI UWANJA WA CCM MKWAKWANI

MILIONI 20 KUTUMIKA UKARABATI UWANJA WA CCM MKWAKWANI

MILIONI 20 KUTUMIKA UKARABATI UWANJA WA CCM MKWAKWANI   Na Oscar Assenga,Tanga. UONGOZI wa uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga umetenga kiasi cha  sh.milioni 20 kwa ajili ya ukarabati wa uwanja huo ambapo fedha hizo zitatumika kwa awamu mbili tofauti. Katibu wa Chama ch
0 comments
MAGAZETINI LEO DESEMBA 19, 2013.

MAGAZETINI LEO DESEMBA 19, 2013.

MAGAZETINI LEO DESEMBA 19, 2013. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger