Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
PANGANI YAHITAJI MIL 200 ILI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA.

PANGANI YAHITAJI MIL 200 ILI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA.

PANGANI YAHITAJI MIL 200 ILI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA. Na Oscar Assenga,PanganiJUMLA ya shilingi milioni 200 zinahitajika kila mwaka ili kuweza kutekeleza miradi ya maendeleo katika Idara ya Afya wilayani Pangani mkoani Tanga  iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi mzuri.Kaimu Mganga w
0 comments
TANAPA KUANZISHA MIRADI YA VIVUTIO VYA ASILI KWENYE VIJIJI VYA MAENEO YANAYOZUNGUKA HIFADHI HIZO.

TANAPA KUANZISHA MIRADI YA VIVUTIO VYA ASILI KWENYE VIJIJI VYA MAENEO YANAYOZUNGUKA HIFADHI HIZO.

TANAPA KUANZISHA MIRADI YA VIVUTIO VYA ASILI KWENYE VIJIJI VYA MAENEO YANAYOZUNGUKA HIFADHI HIZO. NA AMINA OMARI,PANGANI Hifadhi ya Taifa TANAPA inatarajia kuanzisha miradi ya vivitio vya asili vilivyoko kwenye vijijini vya maeneo yanayozunguka hifadhi hizo ili kuimarisha uchumi wa maen
0 comments
HIVI WEMA ALIMKOSEA NINI DIAMOND, KAMPIGA TENA KIJEMBE KWENYE WIMBO WAKE MPYA

HIVI WEMA ALIMKOSEA NINI DIAMOND, KAMPIGA TENA KIJEMBE KWENYE WIMBO WAKE MPYA

HIVI WEMA ALIMKOSEA NINI DIAMOND, KAMPIGA TENA KIJEMBE KWENYE WIMBO WAKE MPYA  Leo video ya muziki ya Msanii Diamond platnumz ya wimbo wa My Number one imetoka rasmi kwenye Television na mitandao mbalimbali ya kijamii na kusema ukweli ni moja ya video nzuri sana za muziki hapa nchini na
0 comments
KASHFA YALIKUMBA JESHI LA POLISI TENA-CCTV ZAZIMWA KURUHUSU UJAMBAZI

KASHFA YALIKUMBA JESHI LA POLISI TENA-CCTV ZAZIMWA KURUHUSU UJAMBAZI

KASHFA YALIKUMBA JESHI LA POLISI TENA-CCTV ZAZIMWA KURUHUSU UJAMBAZI  SIKU chache baada ya tukio la wizi mkubwa wa fedha katika Benki ya Habibu mjini Dar es Salaam, siri nzito zimeanza kuvuja kuwa polisi wanadaiwa kuhusika katika tukio hilo kwa kuhujumu kamera za usalama za CCTV zinazom
0 comments
MWANAMKE ANASWA NA RUNDO LA SARE ZA JESHI JWTZ

MWANAMKE ANASWA NA RUNDO LA SARE ZA JESHI JWTZ

MWANAMKE ANASWA NA RUNDO LA SARE ZA JESHI JWTZ  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Saida Mohamed (30), mkazi wa Mwasonga Kigamboni, akiwa na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ). Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamishna wa Polisi Kanda
0 comments
HUU NDO UKWELI JUU YA MASANJA KUHUSU UVUMI ULOVUMA KUWA ANAHUSIKA NA MADAWA ZA KULEVYA.

HUU NDO UKWELI JUU YA MASANJA KUHUSU UVUMI ULOVUMA KUWA ANAHUSIKA NA MADAWA ZA KULEVYA.

HUU NDO UKWELI JUU YA MASANJA KUHUSU UVUMI ULOVUMA KUWA ANAHUSIKA NA MADAWA ZA KULEVYA.  Jana zilisambaa  habari  kwamba  masanja  mkandamizaji  na  msanii Diamond  wamedakwa  na  polisi  na  possport  zao  za  kus
0 comments
RWANDA YAPANDISHA USHURU WA MAGARI YA MIZIGO YANAYOTOKA TANZANIA.

RWANDA YAPANDISHA USHURU WA MAGARI YA MIZIGO YANAYOTOKA TANZANIA.

RWANDA YAPANDISHA USHURU WA MAGARI YA MIZIGO YANAYOTOKA TANZANIA. Serikali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara (ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo (Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari. Kwa taarifa ambazo sio rasmi, kwa siku ma
0 comments
MAPOKEZI YA BINGWA WA DUNIA MKANDA WBF FRANCIS CHEKA NI VURUGU TUPO MOROGORO.

MAPOKEZI YA BINGWA WA DUNIA MKANDA WBF FRANCIS CHEKA NI VURUGU TUPO MOROGORO.

MAPOKEZI YA BINGWA WA DUNIA MKANDA WBF FRANCIS CHEKA NI VURUGU TUPO MOROGORO.  Mwendesha pikipiki akiendesha pikipiki huku akiwa amesimama wakati wa mapokezi ya bingwa wa dunia mkanda wa WBF Francis Cheka (SMG) wakati akitokea jijini Dar es Salaam baada ya kumdunda Mmarekani Phil Wil
0 comments
Pacha aliyeungana sasa atolewa ICU

Pacha aliyeungana sasa atolewa ICU

Pacha aliyeungana sasa atolewa ICU  Mtoto Kudra aliyekuwa ameunganika na kiwiliwili cha pacha mwenza, anaendelea vizuri na matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mtoto huyo alifanyiwa upasuaji Alhamisi iliyopita katika Taasisi ya Mifupa y
0 comments
USAJILI WA MESUT OZIL NI TIBA YA UGONJWA UNAOKABILI ARSENAL?

USAJILI WA MESUT OZIL NI TIBA YA UGONJWA UNAOKABILI ARSENAL?

USAJILI WA MESUT OZIL NI TIBA YA UGONJWA UNAOKABILI ARSENAL? Klabu ya Arsenal jana imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Mesut Ozil kwa ada ya uhamisho ambayo imevunja rekodi ya usajili ya klabu hiyo. Arsene Wenger amewatimizia ahadi mashabiki w
0 comments
AMNYWESHA MWENZAKE VIROBA KISHA AMLAWITI

AMNYWESHA MWENZAKE VIROBA KISHA AMLAWITI

AMNYWESHA MWENZAKE VIROBAKISHA AMLAWI ESHI la Polisi mkoani Singida linamtafuta kijana mmoja mkazi wa Kibaoni katika manispaa hiyo kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake na kumharibu vibaya sehemu za haja kubwa baada ya kumnunulia pombe kali aina ya viroba jogoo tisa. Kamanda wa polisi
0 comments
WASANII MAARUFU HAPA BONGO WAONA DILI KUKIMBILIA UBUNGE 2015.

WASANII MAARUFU HAPA BONGO WAONA DILI KUKIMBILIA UBUNGE 2015.

WASANII MAARUFU HAPA BONGO WAONA DILI KUKIMBILIA UBUNGE 2015.   Wamo,Judith Wambura (Lady Jay Dee) anaandaliwa jimbo moja Musoma,Selemani Msindi (Afande Sele) anaandaliwa jimbo la Morogoro Mjini Fredy Maliki (Mkoloni) anaandaliwa jimbo moja mkoani Tanga.Jacob Steven (JB) anaandaliwa
0 comments
AZAM TV RASMI, YANGA YATOSWA RASMI.

AZAM TV RASMI, YANGA YATOSWA RASMI.

AZAM TV RASMI, YANGA YATOSWA RASMI. Wakati Kampuni ya Azam Media na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikisaini rasmi mkataba wa kuonyesha Ligi Tanzania Bara, Klabu ya Yanga imeshangazwa na hatua hiyo ikisema imefanyika kinyume na mapendekezo yake. Jana, TFF na Azam Media zilisaini mkat
0 comments
HII NI MAALUM KWA AKINA DADA AMBAO HAWAJAOLEWA!!

HII NI MAALUM KWA AKINA DADA AMBAO HAWAJAOLEWA!!

HII NI MAALUM KWA AKINA DADA AMBAO HAWAJAOLEWA!! Inasemekana Mwanamke anapofikia umri wa miaka 25 huanza kujiuliza kuhusu kuolewa, lakini pia huanza kujiuliza kuhusu watoto. Kama hajaolewa, hana mchumba au anahisi kutokupata mtu anayeamini atamfaa, huanza kuhofia. Anapofikia umri huo huanza
0 comments
HALI YA MANDELA BADO MAHUTUTI INGAWA AMETOLEWA HOSPITALINI NA KURUDISHWA NYUMBANI.

HALI YA MANDELA BADO MAHUTUTI INGAWA AMETOLEWA HOSPITALINI NA KURUDISHWA NYUMBANI.

HALI YA MANDELA BADO MAHUTUTI INGAWA AMETOLEWA HOSPITALINI NA KURUDISHWA NYUMBANI.   Serikali ya Afrika Kusini inasema kuwa rais wa zamani, Nelson Mandela, ametolewa hospitali ambako amekuwa akitibiwa mapafu tangu mwezi wa Juni. Taarifa katika tovuti ya rais wa Afrika Kusini imeeleza
0 comments
MADAKTARI, MANESI WADAIWA KUFANYA VITENDO VYA KINYAMA IKIWEMO KUMNYWESHA KICHANGA MAJI YA DRIPU HOSPITALI YA ZAKHEM JIJINI DAR ES SALAAM,

MADAKTARI, MANESI WADAIWA KUFANYA VITENDO VYA KINYAMA IKIWEMO KUMNYWESHA KICHANGA MAJI YA DRIPU HOSPITALI YA ZAKHEM JIJINI DAR ES SALAAM,

MADAKTARI, MANESI WADAIWA KUFANYA VITENDO VYA KINYAMA IKIWEMO KUMNYWESHA KICHANGA MAJI YA DRIPU HOSPITALI YA ZAKHEM JIJINI DAR ES SALAAM HOSPITALI ya Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam, inakabiliwa na kashfa nzito, baada ya madaktari na wauguzi wake kudaiwa kuwafanyia vitendo vya kinyama wag
0 comments
HAYA NI MAAJABU MENGINE YA DUNIA, KIONGOZI WA DHEHEBU LA WANAODAIWA KULA NYAMA ZA BINADAMU AUAWA KIKATILI NEW GINEA

HAYA NI MAAJABU MENGINE YA DUNIA, KIONGOZI WA DHEHEBU LA WANAODAIWA KULA NYAMA ZA BINADAMU AUAWA KIKATILI NEW GINEA

HAYA NI MAAJABU MENGINE YA DUNIA, KIONGOZI WA DHEHEBU LA WANAODAIWA KULA NYAMA ZA BINADAMU AUAWA KIKATILI NEW GINEA   KIONGOZI mmoja wa madhehebu ya wanaokula nyama za watu akijiita Yesu Mweusi, ambaye aliwachinja wafuasi wake wa kike wanaojulikana kama 'Flower Girl' na kunywa damu yao,
0 comments
WAZANZIBAR WATAKA WAJITEGEE KILA KITU.

WAZANZIBAR WATAKA WAJITEGEE KILA KITU.

WAZANZIBAR WATAKA WAJITEGEE KILA KITU.                                            
0 comments
MEYA WA CCM BUKOBA AKESHA OFISINI IKIDAIWA KUBADILISHA NYARAKA KISA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI.

MEYA WA CCM BUKOBA AKESHA OFISINI IKIDAIWA KUBADILISHA NYARAKA KISA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI.

MEYA WA CCM BUKOBA AKESHA OFISINI IKIDAIWA KUBADILISHA NYARAKA KISA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI. MEYA wa Manispaa ya Bukoba, Anatory Amani, anadaiwa kukesha ofisini na baadhi ya watendaji wake, hatua inayoibua taharuki kwa wananchi kuwa huenda anabadili nyaraka kabla ya kukagu
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger