Featured Post Today
print this page
Latest Post

LULU "TOKA NITOKE JELA SIIJUI NGONO" ABADILI NUMBER MARA 13 KWA USUMBUFU WA WAKWARE NA WASAGAJI

LULU "TOKA NITOKE JELA SIIJUI NGONO" ABADILI NUMBER MARA 13 KWA USUMBUFU WA WAKWARE NA WASAGAJI




Elizabeth Michael "Lulu " Amedai hajakutana na mtu yoyote kimapenzi toka atoke Jela ...Kwa mujibu wa chanzo chetu Muigizaji huyo nyota amesema licha ya Vishawishi vingi  vya wanaume na wasagaji lakini hakuna alie bahatika kumnasa mpaka sasa 
Inasemekana toka apatwe na Masahibu ya Kanumba Lulu ni Kama mtu Aliyeng'atwa na Nyoka kwa kuogopa hata kuguswa na Nyasi..
Lulu Ameshabadilisha number mara 13 na tatu kuepukana na Usumbufu .
0 comments

TASNIA YA BONGO MOVIES CHALI-KANUMBA ALIONDOKA NA KILA KITU-SASA WAMEBAKI KUHAHA NA KUBADILI FANI

TASNIA YA BONGO MOVIES CHALI-KANUMBA ALIONDOKA NA KILA KITU-SASA WAMEBAKI KUHAHA NA KUBADILI FANI

Je ni kweli Steven Kanumba ameondoka na Kila kitu?
Tangu Alipofariki Tasnia ya filamu Tanzania ni kama imelala usingizi wa Pono, Potelea mbali hata kama kuna watu bado wanaingiza mamilion ya pesa lakini ukweli ni kwamba mvuto wake unaendelea kupotea ..Nani anabisha?

Kwa kudhihirisha hilo Tazama wasanii wa kike wanavyojiingiza kwenye fani zingine zinazolipa ..Hawataki tena kupaka poda za location bali wanataka kukata viono kama Ray Majukwaanii...Mabadiliko na Maisha ya Shilole na Snura ni Mfano Tosha kabisa..

Kanumba alikuwa ni kila kitu biashara ya Filamu ilifanyika kupitia yeye..mzunguko wa soko uliundwa kupitia kanumba..Alisafiri kutoka mashariki kwenda magharibi, kaskazini na kusini kwa sababu ya tasnia ya filamu tu hakuwa akisafirisha Unga wala Pembe za ndovu..
Hivi sasa wasanii wa filamu hawavumi kupitia kazi zao, Ukimtazama mtu kama Ray utagundua kazi zake zilikuwa zinavuma kwa msukumo wa Ray lakini sasa zote chali ...Sasa anavuma kwa kugonganisha vimwana badala ya kuingiza movies mpya mtaani...

Kinacho Imaliza Bongo Movies kwa sasa ni Ubinafsi, Haraka , Mipango Butu na Tamaaaaa....

0 comments

TASWIRA YA MKUTANO WA DKT SLAA MJINI KAHAMA.

0 comments
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger