Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
Picha 19 za Nelson Mandela akiwa na watu mbalimbali maarufu duniani

Picha 19 za Nelson Mandela akiwa na watu mbalimbali maarufu duniani

Picha 19 za Nelson Mandela akiwa na watu mbalimbali maarufu duniani   Nelson Mandela kutokana na historia yake ya harakati za kutokomeza ubaguzi wa rangi Afrika Kusini alivutia watu wengi sana hata wale maarufu wa dunia ambao walifanya juu chini kumtembelea Mzee Mandela ambapo hizi ni
0 comments
KERO YA TUTA MANISPAA YA MOROGORO KWA WALE WENYE VYOMBO VYA MOTO.

KERO YA TUTA MANISPAA YA MOROGORO KWA WALE WENYE VYOMBO VYA MOTO.

KERO YA TUTA MANISPAA YA MOROGORO KWA WALE WENYE VYOMBO VYA MOTO. Wafanyakazi wa wakala wa barabara mkoa wa Morogoro wakiondoa vipande vya matofali vilivyojengewa tuta katika barabara ya Korogwe eneo la makao makuu ya tenesco ili kuweza kuweka tuta lingine kutoakana na tuta la mwanzo kuwa
0 comments
KINANA AWAKONGA MOYO WAKAZI WA MBEYA.

KINANA AWAKONGA MOYO WAKAZI WA MBEYA.

KINANA AWAKONGA MOYO WAKAZI WA MBEYA. Katibu wa Itikadi na Uenezi  CCM Taifa, Nape Nnauye akiwahutubia maelfu wa Wananchi wa Jiji la Mbeya katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Shule ya msingi RuandaNzovwe.  Mwenyekiti wa
0 comments
MANDELA KUENZIWA KATIKA IBADA KUBWA

MANDELA KUENZIWA KATIKA IBADA KUBWA

MANDELA KUENZIWA KATIKA IBADA KUBWA Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha mzee Nelson Mandela. Jana rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alitangaza siku 10 za maombolezo kwa Mandela aliyefariki Alhamis usiku akiwa na umri wa miaka 95. Maelfu ya watu wameweka maua kuonyesha mapenzi yao kw
0 comments
PESA ZA WATEJA WA M-PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY NA Z-PESA WANAO FARIKI ZINAKWENDA WAPI?

PESA ZA WATEJA WA M-PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY NA Z-PESA WANAO FARIKI ZINAKWENDA WAPI?

PESA ZA WATEJA WA M-PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY NA Z-PESA WANAO FARIKI ZINAKWENDA WAPI? Kutokana na makampuni karibu yt ya simu Tz kuwa na huduma hz za mobile money, Je inapotokea mteja amefariki, makampuni yanawajibika vipi kuhusu kurudisha pesa za mteja wao kwa msimamizi wa mirathi au
0 comments
MAJANGA:WAZIRI MUHONGO ASUSIA NDEGE, KISA KAKOSA FIRST CLASS SEAT

MAJANGA:WAZIRI MUHONGO ASUSIA NDEGE, KISA KAKOSA FIRST CLASS SEAT

MAJANGA:WAZIRI MUHONGO ASUSIA NDEGE, KISA KAKOSA FIRST CLASS SEAT WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amegoma kusafiri na Watanzania wenzake kwenda nchini Algeria kwa daraja la kawaida baada ya kukosa daraja la kwanza, hivyo kuahirisha safari yake kwa siku moja, Tanzania
0 comments
LIVE KUTOKA KIGOMA,DR.SLAA APAMBANA NA MAANDAMANO MAKUBWA YA KUMPINGA

LIVE KUTOKA KIGOMA,DR.SLAA APAMBANA NA MAANDAMANO MAKUBWA YA KUMPINGA

LIVE KUTOKA KIGOMA,DR.SLAA APAMBANA NA MAANDAMANO MAKUBWA YA KUMPINGA Kinachoendelea KIGOMA muda huu na hata kwenye kwenye Maandamano Makubwa ni hiki wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga ujio wa Dr SLAA na viongozi wenzake mkoani.Mods tunaomba postive na Negative Pictures anachokutan
0 comments
UPEPO MKALI WAEZUA PAA LA SHULE YA MSINGI LUGANGA

UPEPO MKALI WAEZUA PAA LA SHULE YA MSINGI LUGANGA

UPEPO MKALI WAEZUA PAA LA SHULE YA MSINGI LUGANGA Wanafunzi wa shule ya msingi Luganga kata ya Ilolompya Tarafa ya Pawaga Mkoa wa Iringa, wakiangalia sehemu ya paa
0 comments
Chadema mkoani Kigoma kimenuka, watu waandamana kupinga ujio wa Katibu Mkuu Dk. Slaa

Chadema mkoani Kigoma kimenuka, watu waandamana kupinga ujio wa Katibu Mkuu Dk. Slaa

Chadema mkoani Kigoma kimenuka, watu waandamana kupinga ujio wa Katibu Mkuu Dk. Slaa Wanachama na wafuasi wa Chadema wakiandamana katika mitaa mbalimbali ya kigoma ili kupinga ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Slaa mkoani humo pamoja na kupinga maamuzi yanayofanywa na Kamati
0 comments
KIGOMBE BINGWA WA KOMBE LA MKONGE CUP 2013

KIGOMBE BINGWA WA KOMBE LA MKONGE CUP 2013

KIGOMBE BINGWA WA KOMBE LA MKONGE CUP 2013 Na Oscar Assenga,Tanga. TIMU ya Shamba la Mkonge la Kigombe mkoani Tanga leo wameibuka na ubingwa wa Kombe la Mkonge Cup mara baada ya kuibamiza China Farm ya Morogoro mabao 4-3 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye dimba la soka Mkwakwani.
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger