Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
 MTOTO APIGWA NA BABA YAKE MZAZI NA KULISHWA KINYESI CHA MTU MZIMA:

MTOTO APIGWA NA BABA YAKE MZAZI NA KULISHWA KINYESI CHA MTU MZIMA:

HUYU NDIYE MTOTO ALIPIGWA NA BABA YAKE MZAZI NA KULISHWA KINYESI CHA MTU MZIMA:  MWALIMU wa Shule ya Msingi Morotonga, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara, Karata Mugunda, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani hapa, kwa tuhuma za kumpiga na kumlisha kinyesi mtoto wake wa kumzaa mweny
0 comments
Madiwani waliotimuliwa CCM wadai kuwa wako tayari kuhamia CHADEMA.

Madiwani waliotimuliwa CCM wadai kuwa wako tayari kuhamia CHADEMA.

Madiwani waliotimuliwa CCM wadai kuwa wako tayari kuhamia CHADEMA.   MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofukuzwa katika Manispaa ya Bukoba, wamesema wako tayari kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kama chama chao kitaendelea na msimamo wa kuwafukuza.&nb
0 comments
DR.SLAA AWAASA WATANZANIA KUHUSU KATIBA .

DR.SLAA AWAASA WATANZANIA KUHUSU KATIBA .

DR.SLAA AWAASA WATANZANIA KUHUSU KATIBA .    Elizabeth Kilindi,Tanga KATIBU  Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Dr Willbroad slaa amewaasa watanzania watambue kuwa katiba ni uhai wa Taifa hivyo wawe huru kutoa maoni ili baadae iweze kuwatetea na kuwal
0 comments
AFANDE MAPEMBE YUPO HAI TANGA.

AFANDE MAPEMBE YUPO HAI TANGA.

MCHEKESHAJI MAARUFU HAPA NCHINI KUTOKA KUNDI LA VITUKO SHOW HALI TETE KWA GONJWA LISILOTAMBULIKA !.  ''Afande Mapembe'' (Baba Kundambanda).   KWA wadau wa vichekesho hapa nchini nadhani walio wengi wanamfahamu msanii huyu kutokana na umaah iri wake wa uche
0 comments
CHELSEA YAUA 2-0

CHELSEA YAUA 2-0

CHELSEA YAUA 2-0  KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amesherehekea kurejea kwake Stamford Bridge kwa kuanza na ushindi wa mabao 2-0 katika Ligi Kuu ya England dhidi ya timu iliyopanda daraja msimu huu, Hull.   Kiasi cha miaka sita tangu aachane The Blues,
0 comments
Kurasa za magazetini leo August 19 2013

Kurasa za magazetini leo August 19 2013

Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo August 19 2013. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
0 comments
UJUMBE WA RAY C KWENDA KWA WANAOTUMIA MADAWA ZA KULEVYA!!

UJUMBE WA RAY C KWENDA KWA WANAOTUMIA MADAWA ZA KULEVYA!!

Haya ndiyo maneno ya Ray C mwenyewe ambayo yana ujumbe mzuri ndani yake,  “Wote hawa tuliokaa hapa(picha hapo chini) tuliathirika na dawa za kulevya na tumepona kwa kunywa dawa moja tu inayoitwa Methadone. Inapatikana Muhimbili na Mwananyamala pekee na ni bure kabisa.
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger