SPIKA MAKINDA APONGEZWA, PINDA AFUNGA MKUTANI WA KUHIFADHI WANYAMAPORI
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu (wapili kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri (kulia) baada ya kufunga Mkutano wa kupiga
vita ujangili wa wanayamapori na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori
mjini Arusha Novemba 8, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Kahama, James
Lembeli.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki,
Dkt Richard Sezibara(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu (wapili kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri (kulia) baada ya kufunga Mkutano wa kupiga
vita ujangili wa wanayamapori na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori
mjini Arusha Novemba 8, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Kahama, James
Lembeli.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki,
Dkt Richard Sezibara(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)