Featured Post Today
print this page
Latest Post

SPIKA MAKINDA APONGEZWA, PINDA AFUNGA MKUTANI WA KUHIFADHI WANYAMAPORI

SPIKA MAKINDA APONGEZWA, PINDA AFUNGA MKUTANI WA KUHIFADHI WANYAMAPORI

unnamed
unnamed2Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Spika wa Bunge, Anne Makinda kwenye viwanja  vya  Bunge mjini Dodoma Novemba 7, 2014 katika tafrija  ya kumpongeza Spika kwa kuteuliwa kuwa Rais wa Mabunge ya  SADEC . Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Anna Abdallah na wapil kulia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela  Kairuki na kushoto ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dr. Pindi Chana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed3Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge Anne Makinda  (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri wa katiba na Sheria, Angela Kairuki  (katikati) alipotoa maelezo kuhusu zawadi ya picha  ambayo wabunge walimzawadia Spika Makinda katika tafrija ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa spika wa Mabunge ya SADEC iliyofanyia kwenye viwanja vya Bunge mjioni Dodoma Novemba 7, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) unnamed4Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge Anne Makinda  (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri wa katiba na Sheria, Angela Kairuki  (katikati) alipotoa maelezo kuhusu zawadi ya picha  ambayo wabunge walimzawadia Spika Makinda katika tafrija ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa spika wa Mabunge ya SADEC iliyofanyia kwenye viwanja vya Bunge mjioni Dodoma Novemba 7, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) unnamed5Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha  ambako alifunga Mkutano wa kupiga vita ujangili wa wanayamapori  na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori uliofanyika mjini Arusha Novemba 8, 2014.(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed6 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wapili  kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri (kulia) baada ya kufunga Mkutano wa kupiga vita ujangili wa wanayamapori  na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori mjini Arusha Novemba 8, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Dkt Richard Sezibara(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed7 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wapili  kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri (kulia) baada ya kufunga Mkutano wa kupiga vita ujangili wa wanayamapori  na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori mjini Arusha Novemba 8, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Dkt Richard Sezibara(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments

Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema

Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete akizungumza na  Dkt.Edward Shaeffer wa hospitali ya
Johns Hopkins na Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi(kulia) baada
ya kuwasili katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore,
Maryland,  Marekani kwa upasuaji Jumamosi asubuhi. Upasuaji huo
uliochukua muda wa saa moja na nusu ulifanyika salama.(Picha na Fred Maro) unnamed2 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na daktari Bingwa
Mpasuaji Edward Shaeffer muda mfupi kabla ya kuingia kwenye chumba cha
upasuaji uliofanyika katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo
Baltimore Maryland Marekani Jumamosi asubuhi.Upasuaji huo uliochukua
muda wa saa moja na nusu ulifanyika salama.
…………………………………………………………………
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa
upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins
iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.
Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya madaktari waliomfanyia
uchunguzi wa afya yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji
matibabu ya aina hiyo.
Upasuaji huo uliofanyika alfajiri na kuchukua kiasi cha saa moja
unusu, umefanyika salama na kwa mafanikio makubwa. Hali ya Mheshimiwa
Rais Kikwete inaendelea vizuri, bado yuko wodini akiendelea kuwa chini
ya uangalizi wa madaktari na kupatiwa tiba.
Wananchi wataendelea kupewa taarifa sahihi kuhusu hali ya Rais Kikwete
kwa kadri zitakavyokuwa zinapatikana.
Imetolewa na
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU
DAR ES SALAAM,
NOVEMBA 9, 2014
0 comments

JANUARY MAKAMBA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO BUMBULI VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 20,AWEKA MKAKATI WA KUPATA TIMU YA LIGI KUU SIKU ZIJAZO

JANUARY MAKAMBA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO BUMBULI VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 20,AWEKA MKAKATI WA KUPATA TIMU YA LIGI KUU SIKU ZIJAZO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI WILAYANI LUSHOTO,HOZA MANDIA AKIWAKABIDHI VIJANA JEZI WA MICHEZO LEO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI WILAYANI LUSHOTO,HOZA MANDIA AKIWAKABIDHI VIJANA JEZI WA MICHEZO LEO

HAPA KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA AKIWAKABIDHI VIJANA HAO FEDHA TASLIMU

KUSHOTO NI KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA AKIMKABIDHI MPIRA DIWANI WA KATA YA USAMBARA
MASHABIKI WA SOKA TAMOTA WAKIWA WAMESHIKILIA VITITA VYAO LEO

MASHABIKI WA MAHEZANGULU WAKIFUHAIA BAADA YA KUKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA KUSHOTO AKIWAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO TIMU YA TAMOTA




KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA MASHABIKI WA SOKA WA  MILINGANO

MASHABIKI WA KATA YA VUGA WAKIWA NA FURAHA MARA BAADA YA KUKABIDHIWA JEZI NA VITITA VYAO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA KUSHOTO AKIMKABIDI VIFAA VYA MICHEZO KIONGOZI WA TIMU YA MILINGANO

0 comments
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger