Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
 Mashine za TRA zazua balaa.. Mbeya wagoma kuzinunua, vurugu zazuka.....!

Mashine za TRA zazua balaa.. Mbeya wagoma kuzinunua, vurugu zazuka.....!

Mashine za TRA zazua balaa.. Mbeya wagoma kuzinunua, vurugu zazuka.....! Mabomu ya machozi yalipigwa ili kuzuia wafanyabiashara wasilete vurugu Maduka yakiwa yamefungwa Wafanyabiash
0 comments
Meza ya magazeti leo alhamisi Oktoba 3

Meza ya magazeti leo alhamisi Oktoba 3

Meza ya magazeti leo alhamisi Oktoba 3
0 comments
siku ya wazee duniani yasherehekea tanga

siku ya wazee duniani yasherehekea tanga

siku ya wazee duniani yasherehekea tanga MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU WAZEE DUNIANI NA WAZEE WA KOROGWE MKOA WA TANGA  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya Wazee waliohudhuri
0 comments
CHELSEA YAKUTANA NA KIBONDE, YAKIFANYIZIA HASWAA KUJENGA HESHIMA, FABREGAS AING'ARISHA BARCA, BALOTELLI AINUSURU AC MILAN KULALA KWA AJAX

CHELSEA YAKUTANA NA KIBONDE, YAKIFANYIZIA HASWAA KUJENGA HESHIMA, FABREGAS AING'ARISHA BARCA, BALOTELLI AINUSURU AC MILAN KULALA KWA AJAX

CHELSEA YAKUTANA NA KIBONDE, YAKIFANYIZIA HASWAA KUJENGA HESHIMA, FABREGAS AING'ARISHA BARCA, BALOTELLI AINUSURU AC MILAN KULALA KWA AJAX   Mawili: Ramires akishangilia bao lake la pili katika ushindi wa 3-0 wa Chelsea     MABAO mawili ya Ramires moja kila k
0 comments
GARETH BALE NJE LEO REAL MADRIDI IKIPIGANA ULAYA, MAN UNITED NAYO KUMKOSA RIO DHIDI YA SHAKHTAR

GARETH BALE NJE LEO REAL MADRIDI IKIPIGANA ULAYA, MAN UNITED NAYO KUMKOSA RIO DHIDI YA SHAKHTAR

GARETH BALE NJE LEO REAL MADRIDI IKIPIGANA ULAYA, MAN UNITED NAYO KUMKOSA RIO DHIDI YA SHAKHTAR WINGA Gareth Bale ataukosa mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya FC Copenhagen kutokana na tatizo lake la majeruhi kuendelea katika maisha yake mapya Real Mad
0 comments
SERIKALI YAZIDI KUIKOMALIA MAGAZETI YA MWANANCHI, MTANZANIA.

SERIKALI YAZIDI KUIKOMALIA MAGAZETI YA MWANANCHI, MTANZANIA.

SERIKALI YAZIDI KUIKOMALIA MAGAZETI YA MWANANCHI, MTANZANIA.   Assa Mwambene. KWA mara nyingine serikali imeendelea kuandama vyombo vya habari viwili ilivyovifungia wiki iliyopita, magaz eti ya Mwananchi na Mtanzania. Jana ilitishia kuchukua hatua kali dhidi ya gazeti la Rai
0 comments
 MBIO ZA MWENGE WA HURU JIJINI MBEYAN TAYARI KUZINDUA MIRADI YA MAENDELEO.

MBIO ZA MWENGE WA HURU JIJINI MBEYAN TAYARI KUZINDUA MIRADI YA MAENDELEO.

MBIO ZA MWENGE WA HURU JIJINI MBEYAN TAYARI KUZINDUA MIRADI YA MAENDELEO. mkuu wa mkoa wa mbeya Abbas Kandoro akiapa kuwa ameupokea salama mwenge wa uhuru kama alivyokabidhiwa na mkuu wa mkoa wa Njombe jana.  mkuu
0 comments
HII NI MAALUM KWA WADADA NA WAMAMA WANAOTAKA WAWE MABIKRA TENA!! TAHADHARI.

HII NI MAALUM KWA WADADA NA WAMAMA WANAOTAKA WAWE MABIKRA TENA!! TAHADHARI.

HII NI MAALUM KWA WADADA NA WAMAMA WANAOTAKA WAWE MABIKRA TENA!! TAHADHARI. wengi hujiuliza  kama  kuna dawa  ya  asili  ya  kurejesha  bikira  kwa wanawake.  Haipo  dawa  
0 comments
MKE WA WAZIRI ATAPELIWA MIL. 280

MKE WA WAZIRI ATAPELIWA MIL. 280

MKE WA WAZIRI ATAPELIWA MIL. 280 Ikupa Mwakanjuki, mke wa waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, marehemu Brigedia Adam Mwakanjuki, ametapeliwa shilingi milioni 280. Waliomtapeli Ikupa ni vijana wanne ambao inadaiwa ni matapeli wazoefu jijini Dar es Salaam na kwenye baadhi
0 comments
Extra Bongo wamlilia marehemu Watuguru

Extra Bongo wamlilia marehemu Watuguru

Extra Bongo wamlilia marehemu Watuguru Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam BENDI ya Extra Bongo, imestushwa na kifo cha mpiga gitaa wa bendi ya WK sound, Joseph Watuguru, aliyefariki juzi na kupangwa kuzikwa leo Kongowe jijini Dar es Salaam. Marehemu Jose Watuguru kushoto enzi za uhai wak
0 comments
Khamis Tambwe mabao aumwa tumbo ghalfa

Khamis Tambwe mabao aumwa tumbo ghalfa

Khamis Tambwe mabao aumwa tumbo ghalfa Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam DAKTARI wa timu ya Simba, Yasin Gembe, amesema mshambuliaji wao Khamis Tambwe, amepata mvurugiko wa tumbo hivyo kukosa kufanya mazoezi ya asubuhi na wenzake. Muda wote wa mazoezi, Tambwe alikuwa nje ya uwanja, h
0 comments
SEREKALI YAZIDI KUYAANDAMA MAGAZETI LINGINE LAPIGWA MKWAEA MZITO

SEREKALI YAZIDI KUYAANDAMA MAGAZETI LINGINE LAPIGWA MKWAEA MZITO

SEREKALI YAZIDI KUYAANDAMA MAGAZETI LINGINE LAPIGWA MKWAEA MZITO KWA mara nyingine serikali imeendelea kuandama vyombo vya habari viwili ilivyovifungia wiki iliyopita, magazeti ya Mwananchi na Mtanzania. Jana ilitishia kuchukua hatua kali dhidi ya gazeti la Rai (dada wa Mtanzania) ikisema i
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger