Featured Post Today
print this page
Latest Post

RC GALLAWA AFANYA ZIARA WILAYA YA TANGA

RC GALLAWA AFANYA ZIARA WILAYA YA TANGA

MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA AKIFUNGUA JENGO LA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI PONGWE WAKATI AKIWA KWENYE ZIARA YAKE YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA TANGA.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa akifungua jengo la maabara kwenye shule ya sekondari Pongwe juzi akiwa kwenye ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye wilaya ya Tanga anayeshuhudia wa kwanza ni Meya wa Jiji la Tanga,Omari Guledi.
Kaimu Meneja wa Tanesco Mkoa wa Tanga,Joackim Luheta
kushoto akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku
Gallawa wa pili kulia jinsi ya kituo cha kupozea umeme Kange jinsi
kinavyofanya kazi wakati wa ziara yake ya kukagua shughulia mbalimbali
za maendeleo kwenye wilaya ya Tanga.
Kaimu Meneja wa Tanesco Mkoa wa Tanga,Joackim Luheta kushoto akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa  wa Tatu kushoto jinsi ya kituo hicho cha kupozea umeme Kange jijini Tanga kinavyofanya kazi wanaoshuhudia ni kushoto ni Meya wa Jiji la Tanga Omari Guledi na Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego.
MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA KATIKATI AKISISITIZA JAMBO KWA KAIMU MENEJA WA TANESCO MKOA WA TANGA,JOACKIM LUHETA KUHUSU KITUO HICHO WA KWANZA KUSHOTO NI MKUU WA WILAYA YA TANGA,HALIMA DENDEGO.
HAPO MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA AKISAINI KITAMBU CHA WAGENI MARA BAADA YA KUWASILI KWENYE KITUO HICHO CHA KUPOZEA UMEME KANGE JIJINI TANGA.
0 comments
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger