
ajabu mama alizirai kwa hasira maana watu walimzuia kabla hamu yake ya kumtwanga mwananae haijaisha hii ni kwa mujibu wa yeye mwenyewe baada ya kuzinduka! Watu hoi kila mmoja mbavu hana kwa kicheko!!!!!! Alivyozinduka aliieleza
kwamba kisa cha kumpiga mwanae ni baada ya kupata malalamiko kutoka kwa jirani yake kwamba mwanae amempiga mtoto wa jirani huyo, kwahio yeye alichukua maamuzi ya kumpa mwanae kisago cha uhakika ili amfurahishe jirani yake!!!!..
Post a Comment