Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
HALI YA USALAMA YAZIDI KUZOROTA JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI

HALI YA USALAMA YAZIDI KUZOROTA JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI

HALI YA USALAMA YAZIDI KUZOROTA JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI Waasi wa kundi la kikristo la Anti Balaka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wametishia kuwaua mamia ya waislamu wanaojificha katika kanisa moja ka
0 comments
OPERESHENI DHIDI YA WAASI WA UGANDA ADF

OPERESHENI DHIDI YA WAASI WA UGANDA ADF

OPERESHENI DHIDI YA WAASI WA UGANDA ADF  Waasi wa Uganda ADF. Operesheni zinaendelea katika wilaya ya Beni, jeshi la serikali limetangaza kuwa, operesheni hizo, zimelipelekea j
0 comments
BILIONI 2.4 ZAHITAJIKA UKARABATI WA MIUNDOMBINU SHULE YA SEKONDARI TANGA SCHOOL

BILIONI 2.4 ZAHITAJIKA UKARABATI WA MIUNDOMBINU SHULE YA SEKONDARI TANGA SCHOOL

BILIONI 2.4 ZAHITAJIKA UKARABATI WA MIUNDOMBINU SHULE YA SEKONDARI TANGA SCHOOL (Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake)   NA OSCAR ASSENGA,TANGA   JUMLA ya sh. Bilioni 2.4 zinahitajika kwa ajili y
0 comments
Wakulima wilayani Handeni waaswa kulima mazao ya biashara na chakula

Wakulima wilayani Handeni waaswa kulima mazao ya biashara na chakula

Wakulima wilayani Handeni waaswa kulima mazao ya biashara na chakula Na Mwandishi Wetu, Handeni WANANCHI wilayani Handeni, mkoani Tanga, wameaswa kulima maza ya biashara na chakula ili kuwaondolea balaa la njaa linalowakumba kila mwaka kutokana na kutegemea kilimo cha aina moja, yakiwam
0 comments
NAIBU WAZIRI MAKAMBA ATAKA WANAWAKE KUJIUNGA NA VIKUNDI              Raisa Said, Bumbuli.  MBUNGE wa Jimbo la Bumbuli, January  Makamba amewataka wanawake na vijana wa Jimbo hilo kuanzisha vikundi vya ujasiriama
0 comments
MWANAHARAKATI ATAKA SERIKALI KUSITISHA MCHAKATO WA KATIBA

MWANAHARAKATI ATAKA SERIKALI KUSITISHA MCHAKATO WA KATIBA

MWANAHARAKATI ATAKA SERIKALI KUSITISHA MCHAKATO WA KATIBA      Raisa  Said, Tanga   Katika hatua inayotishia mchakato wa upatikanaji katiba mpya, mwanaharakati mmoja wa Tanga amefungua shauri linaloitaka serikali kusitisha mchakato  hadi hapo itak
0 comments
MSICHANGANYE MAPENZI NA MASOMO-RC.

MSICHANGANYE MAPENZI NA MASOMO-RC.

MSICHANGANYE MAPENZI NA MASOMO-RC. NA OSCAR ASSENGA,MUHEZA. MKUU wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu,Chiku Gallawa amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa kuacha kujiingiza kwenye mapenzi wakiwa mashuleni kwani hali hiyo itawafanya kushindwa kufikia malengo yao. Gal
0 comments
PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!  Kuna ajali mbaya sana imetokea mlima Sekenke muda huu na watu 4 amefariki dunia.Ajali hiyo ilitokea wakati gari la mafuta kufeli breki na kuingia darajani na kulipuka moto. Ni ajali mbaya sana ambayo ni vigumu
0 comments
Ummy: Nitavalia njuga bei ya gesi

Ummy: Nitavalia njuga bei ya gesi

Ummy: Nitavalia njuga bei ya gesi NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Ummy Mwalimu, ameahidi kulivalia njuga suala la bei za nishati ya gesi kwa lengo la kuhakikisha kila mwanamke wa Kitanzania ananufaika na nishati hiyo.   Naibu Waziri huyo alisema hayo alipokuwa
0 comments
TANZANIA YAANDALIWA MAOMBEZI MAALUM YA AMANI

TANZANIA YAANDALIWA MAOMBEZI MAALUM YA AMANI

TANZANIA YAANDALIWA MAOMBEZI MAALUM YA AMANI   Na Kenneth John Kituo cha nyumba ya maombezi kimeandaa kongamano maalum lenye dhamira ya kuombea kampeni za uchaguzi mbalimbali ikiwemo uchaguzi mkuu mwaka 2015, pamoja na mchakato wa upatikanaji wa kati
0 comments
PILIKAPILIKA ZIKIWA ZINAENDELEA KTK SOKO LA SAMAKI DEEP SEA JIRANI NA BANDARI YA TANGA, SAMAKI WANAONEKANA KUWA ADIMU KUTOKANA NA UPEPO MKALI UNAOVUMA BAHARINI.

PILIKAPILIKA ZIKIWA ZINAENDELEA KTK SOKO LA SAMAKI DEEP SEA JIRANI NA BANDARI YA TANGA, SAMAKI WANAONEKANA KUWA ADIMU KUTOKANA NA UPEPO MKALI UNAOVUMA BAHARINI.

PILIKAPILIKA ZIKIWA ZINAENDELEA KTK SOKO LA SAMAKI DEEP SEA JIRANI NA BANDARI YA TANGA, SAMAKI WANAONEKANA KUWA ADIMU KUTOKANA NA UPEPO MKALI UNAOVUMA BAHARINI.
0 comments
KARIBU TANGA, KAZI NA MAPUMZIKO. WADAU WA BLOG YA TANGA LEO WAKIWA WAMEPOZI ENEO LA DEEP SEA JIRANI NA BANDARI YA TANGA KAMA WALIVYOKUTWA NA BLOG HII ASUBUHI YA LEO
0 comments
AZAM YAANZA AFRIKA, YAWAKALISHA WAMAKONDE CHAMAZI LICHA YA KUBEBWA NA MAREFA ILE MBAYA

AZAM YAANZA AFRIKA, YAWAKALISHA WAMAKONDE CHAMAZI LICHA YA KUBEBWA NA MAREFA ILE MBAYA

AZAM YAANZA AFRIKA, YAWAKALISHA WAMAKONDE CHAMAZI LICHA YA KUBEBWA NA MAREFA ILE MBAYA Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam AZAM FC imepata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Azam
0 comments
SIMBA SC YAKALISHWA NA MIGAMBO MKWAKWANI

SIMBA SC YAKALISHWA NA MIGAMBO MKWAKWANI

SIMBA SC YAKALISHWA NA MIGAMBO MKWAKWANI Na Oscar Assenga, Tanga SIMBA SC imelala bao 1-0 jioni ya leo mbele ya Mgambo Shooting Uwanja wa Mkwakwani, Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Kwa mara nyingine leo kipa Ivo Mapunda amefungwa bao rahisi, baada ya kumtemea mpira
0 comments
Vigogo wilayani Handeni wafikishwa mahakamani kwa ufisadi wa Milioni 600

Vigogo wilayani Handeni wafikishwa mahakamani kwa ufisadi wa Milioni 600

Vigogo wilayani Handeni wafikishwa mahakamani kwa ufisadi wa Milioni 600 Na Mwandishi Wetu, Handeni.   TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Handeni mkoani Tanga,imewapandisha kizimbani watumishi 12 wa halmashuri hiyo wakiwatuhumu kutumia nyaraka mbalimbali amb
0 comments
NMB WAMKABIDHI NAIBU WAZIRI UMMY VITANDA SABA KWA AJILI YA VITUO VYA AFYA JIJINI TANGA LEO

NMB WAMKABIDHI NAIBU WAZIRI UMMY VITANDA SABA KWA AJILI YA VITUO VYA AFYA JIJINI TANGA LEO

NMB WAMKABIDHI NAIBU WAZIRI UMMY VITANDA SABA KWA AJILI YA VITUO VYA AFYA JIJINI TANGA LEO NAIBU WAZIRI WA OFISI YA MAKAMU RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU AKIZUNGUMZA WAKATI WA AKIPOKEA VITANDA SABA KUTOKA KWA BENKI YA NMB LEO AMBAPO VITANDA HIVYO VINA GHARAMA YA SH.MILIONI 5 KUSHOTO NI
0 comments
MAGEREZA MKOA WA TANGA YAANZA MAANDALIZI YA UKARABATI WA OFISI MPYA ZA UTAWALA, JIJINI TANGA

MAGEREZA MKOA WA TANGA YAANZA MAANDALIZI YA UKARABATI WA OFISI MPYA ZA UTAWALA, JIJINI TANGA

MAGEREZA MKOA WA TANGA YAANZA MAANDALIZI YA UKARABATI WA OFISI MPYA ZA UTAWALA, JIJINI TANGA  Mkuu wa Magereza Mkoa wa Tanga, Naibu Kamishna wa Magereza Edither Malya(wa pili kulia) akielezea hatua mbalimbali za Maandalizi ya ukarabati wa Jengo la Ofisi za Utawala za Magereza
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger