NMB WAMKABIDHI NAIBU WAZIRI UMMY VITANDA SABA KWA AJILI YA VITUO VYA AFYA JIJINI TANGA LEO
| NAIBU WAZIRI WA OFISI YA MAKAMU RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU AKIZUNGUMZA WAKATI WA AKIPOKEA VITANDA SABA KUTOKA KWA BENKI YA NMB LEO AMBAPO VITANDA HIVYO VINA GHARAMA YA SH.MILIONI 5 |
| WAKINA MAMA WAKIOJITOKEZA WAKATI WA MAKABIDHIANO YA VITANDA HIVYO LEO |
| MKUU WA WILAYA YA TANGA,HALIMA DENDEGO AKIZUNGUMZA KWENYE HAFLA HIYO YA MAKABIDHIANO LEO KWENYE KITUO CHA AFYA MAKORORA JIJINI TANGA. |
| VITANDA VILIVYOKABIDHIWA LEO NA BENKI YA NMB KWA NAIBU WAZIRI W OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU KWA AJILI YA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA. |
| NAIBU WAZIRI WA OFISI YA RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU AKIFURAHIA JAMBO MARA BAADA YA MAKABIDHIANO HAYO LEO |
Post a Comment