MKURUGENZI WA VIJANA TAIFA ATOA SEMINA KWA VIJANA MKOA WA TANGA.


Mgeni rasmi Bw. Ramadhani  Kaswa, Mkuu wa kitengo cha Mipango  katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa akifungua semina hiyo. Bw. Kaswa amemwakilisha Katibu Tawala Mkoa.


Kaimu Afisa Vijana Mkoa wa Tanga Bi Digna Tesha akiteta jambo wakati wa semina


Profesa Elisante Ole Gabriel akitoa neno katika semina hiyo.



Profesa Elisante Ole Gabriel,kushoto,kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Taifa akiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Chiku Gallawa mara baada ya kuwasili mkoani hapa kwa ajili ya semina ya vijana.


Baadhi ya vijana waliohudhuria semina.  Ni Maafisa vijana na vijana wa wenye umri wa miaka 15 hadi 35 kutoka Halmashauri zote mkoani Tanga.


Baadhi ya vijana waliohudhuria semina.  Ni Maafisa vijana na vijana wa wenye umri wa miaka 15 hadi 35 kutoka Halmashauri zote mkoani Tanga.


Baadhi ya vijana waliohudhuria semina.  Ni Maafisa vijana na vijana wa wenye umri wa miaka 15 hadi 35 kutoka Halmashauri zote mkoani Tanga.


Baadhi ya vijana waliohudhuria semina.  Ni Maafisa vijana na vijana wa wenye umri wa miaka 15 hadi 35 kutoka Halmashauri zote mkoani Tanga.
Habari na picha kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa “www.mkoatanga.blogspot.com”
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger