Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
Ajali ya treni mkoani Dodoma jana

Ajali ya treni mkoani Dodoma jana

Ajali ya treni mkoani Dodoma jana Treni iliyopata ajali wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma jana baada ya kusombwa na maji ikionekana pichani.
0 comments
Robert Mugabe kuususia mkutano kati ya Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya endapo mkewe hataalikwa.

Robert Mugabe kuususia mkutano kati ya Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya endapo mkewe hataalikwa.

Robert Mugabe kuususia mkutano kati ya Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya endapo mkewe hataalikwa. Serikali ya Zimbabwe imeeleza kuwa rais Robert Mugabe ataususia mkutano uliopangwa kufanyika mwanzoni mwa April kati ya Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) endapo mkewe Grace hataalik
0 comments
Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda.

Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda.

Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda. Hali ya hewa jana ilichafuka kwenye Bunge la Katiba baada ya mjumbe Ezekiel Wenje kuwatuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baadhi ya mawaziri kuwa waliwahonga baadhi ya wajumbe wa kundi la 201. Katika tuhuma hizo, Wenje alimta
0 comments
Timu ya uendeshaji wa huduma za afya wilayani Korogwe, mkoani Tanga

Timu ya uendeshaji wa huduma za afya wilayani Korogwe, mkoani Tanga

Timu ya uendeshaji wa huduma za afya wilayani Korogwe, mkoani Tanga Meneja wa Bima ya Afya – Mkoa wa Tanga, Bw. Ally Mwakababu (kushoto) akitoa maelezo ya utangulizi wakati wa ufunguzi wa kikao cha Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri (CHMT) kikijadili mchakato wa kubadir
0 comments
KAMATI YA UCHUMI NA FEDHA YA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE, TANGA YAPITISHA MPANGO WA TIBA KWA KADI (TIKA)

KAMATI YA UCHUMI NA FEDHA YA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE, TANGA YAPITISHA MPANGO WA TIBA KWA KADI (TIKA)

KAMATI YA UCHUMI NA FEDHA YA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE, TANGA YAPITISHA MPANGO WA TIBA KWA KADI (TIKA) Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole, Mheshimiwa Angello Bendera akiendesha kikao cha Kamati ya Uchumi na Fedha cha Halmashauri ya Mji kujadili mchak
0 comments
RC GALLAWA-VIONGOZI KUWENI MSTARI WA MBELE KUWAHIMIZA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI(TIKA)

RC GALLAWA-VIONGOZI KUWENI MSTARI WA MBELE KUWAHIMIZA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI(TIKA)

RC GALLAWA-VIONGOZI KUWENI MSTARI WA MBELE KUWAHIMIZA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI(TIKA) MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA AKIFUNGUA MKUTANO WA SIKU  YA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI WA TIBA KWA KADI (TIKA) KOROGWE MJI AMBAPO LENGO LA MKUTANO HU
0 comments
WAUGUZI NA MADAKTARI WASITISHA KUTOA HUDUMA KWA WAGONJWA NI BAADA YA HOSPITALI KUKUMBWA NA MAFURIKO

WAUGUZI NA MADAKTARI WASITISHA KUTOA HUDUMA KWA WAGONJWA NI BAADA YA HOSPITALI KUKUMBWA NA MAFURIKO

WAUGUZI NA MADAKTARI WASITISHA KUTOA HUDUMA KWA WAGONJWA NI BAADA YA HOSPITALI KUKUMBWA NA MAFURIKO  Huu ni mtaro wa kupitisha maji taka ambao umepita kati kati ya Hospitali ya Palestina amapo ulifumuka na kusababisha kusambaa kwa maji machafu katika kila kona ya
0 comments
CHAUSTA WASHINDWA KUFANYA KAMPENI KALENGA

CHAUSTA WASHINDWA KUFANYA KAMPENI KALENGA

CHAUSTA WASHINDWA KUFANYA KAMPENI KALENGA IKIWA zimebaki takribani siku kumi ili kufungwa kampeni za kugombea ubunge katika jimbo la Kalenga, mgombea wa ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Haki na Ustawi (CHAUSTA), Richard Minja anatarajia kuzindua kampeni kesho katika ki
0 comments
 KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amewataka wachezaji wake kutumia vizuri nafasi wanazopata ili washinde katika mechi yao dhidi ya Prisons, mchezo unaotarajiwa kupigwa kesho katika Uwanja wa Sokoine jiji mbeya.

KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amewataka wachezaji wake kutumia vizuri nafasi wanazopata ili washinde katika mechi yao dhidi ya Prisons, mchezo unaotarajiwa kupigwa kesho katika Uwanja wa Sokoine jiji mbeya.

KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amewataka wachezaji wake kutumia vizuri nafasi wanazopata ili washinde katika mechi yao dhidi ya Prisons, mchezo unaotarajiwa kupigwa kesho katika Uwanja wa Sokoine jiji mbeya. Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.   KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok L
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger