JOHARI AFUNGUKA NA KUSEMA HATOACHA KUNYWA POMBE HADI MWISHO WA MAISHA YAKE.


JOHARI AFUNGUKA NA KUSEMA HATOACHA KUNYWA POMBE HADI MWISHO WA MAISHA YAKE.


Staa wa bongo movie nchini Johari amefunguka kuwa starehe ya pombe ni sehemu ya maisha yake hivyo kamwe hatoweza kuiacha hadi mwisho wa maisha yake kwa vile hana starehe nyingine aipendayo kama hiyo.
Johari aliongeza kusema katika maisha yake amejilaumu sana kwa nini alichelewa kuanza kutumia pombe kwani ina flava za ajabu ambazo humfanya kusahau shida zake zote na kujikuta yuko sayari nyingine.
CREDIT: MASKANI BONGO.
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger