Featured Post Today
print this page

MKWASA AWATEMA MWADINI, BANDA NA TSHABALALA STARS KILA MMOJA NA SABABU ZAKE, WENGINE WAGONJWA Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM K...

Read more »

JK ASHUHUDIA KUSIMIKWA CHIFU KINGALU WA 15 KIJIJINI KINOLE. ...

Read more »

MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI-CHADEMA JOSHUA NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA KUTUMIA CHOPA ...

Read more »

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU Na Peter Mtulia.  Msimamizi ...

Read more »

WIZARA YA UCHUKZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA CHINA ...

Read more »

Coastal Union yajiandaa na mechi ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhur...

Read more »

Rais Zuma awatembelea waathirika wa ghasia Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini amewaomba raia wa kigeni kubakia ...

Read more »
Latest Post
WANANCHI WA MJI KOROGWE WAUPOKEA KWA KISHINDO MPANGO WA TIKA, WACHANGIA MIL. 1.3

WANANCHI WA MJI KOROGWE WAUPOKEA KWA KISHINDO MPANGO WA TIKA, WACHANGIA MIL. 1.3

WANANCHI WA MJI KOROGWE WAUPOKEA KWA KISHINDO MPANGO WA TIKA, WACHANGIA MIL. 1.3 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Ngalawa akifungua mkutano wa siku ya wadau wa Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA) ambapo Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kuchukua maoni yao na kuwaeleza jinsi
0 comments
Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi

Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi

Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi    Makombo Hatibu  akimlisha uji wa lishe mtoto Hatibu Abdallah, kushoto ni mtoto Asha Abdalah hivi karibuni mkoani Tanga Kwenye duka mojawapo lililopo katika eneo la Mgera wilayani Kilindi mkoani Tanga, nakutana na mama mweny
0 comments
MACHANGU:WABUNGE WAKATIBA WANALIPA VIZURI.

MACHANGU:WABUNGE WAKATIBA WANALIPA VIZURI.

MACHANGU:WABUNGE WAKATIBA WANALIPA VIZURI. Wasichana wanaofanya biashara ya kujiuza katika maeneo mbalimbali mjini Dodoma wameelezea neema iliyowafikia kufuatia kujikusanyia pesa ndefu kutoka kwa baadhi ya wabunge wa Bunge la Katiba ambao wanadaiwa kuwalipa vizuri. Wakizungumza na Ijum
0 comments
JINI KABULA AFUNGUKA NA KUSEMA MEMBER WA BONGO MOVIE WENGI NI WAATHIRIKA.

JINI KABULA AFUNGUKA NA KUSEMA MEMBER WA BONGO MOVIE WENGI NI WAATHIRIKA.

JINI KABULA AFUNGUKA NA KUSEMA MEMBER WA BONGO MOVIE WENGI NI WAATHIRIKA. Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua msanii mkongwe kiwanda cha Bongo movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema kuwa hakika gonjwa hatari la ukimwi litawateketeza wasanii wote wa
0 comments
JOHARI AFUNGUKA NA KUSEMA HATOACHA KUNYWA POMBE HADI MWISHO WA MAISHA YAKE.

JOHARI AFUNGUKA NA KUSEMA HATOACHA KUNYWA POMBE HADI MWISHO WA MAISHA YAKE.

JOHARI AFUNGUKA NA KUSEMA HATOACHA KUNYWA POMBE HADI MWISHO WA MAISHA YAKE. Staa wa bongo movie nchini Johari amefunguka kuwa starehe ya pombe ni sehemu ya maisha yake hivyo kamwe hatoweza kuiacha hadi mwisho wa maisha yake kwa vile hana starehe nyingine aipendayo kama hiyo.Johari aliongez
0 comments
Hati za Muungano mvurugano

Hati za Muungano mvurugano

Hati za Muungano mvurugano Utata umezidi kuibuka katika Bunge Maalumu la Katiba kutokana na kutopatikana kwa hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na ile ya Sheria ya Baraza la Mapinduzi ya kuridhia Mkataba wa Muungano. Utata hu
0 comments
Kesi ya Ponda ngoma nzito

Kesi ya Ponda ngoma nzito

Kesi ya Ponda ngoma nzito Kesi inayomkabili Kiongozi wa Taasisi na Jumuiya ya Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, imeendelea kusota mahakamani hadi hapo jalada lake litakaporudishwa toka Mahakama Kuu.Akiahirisha kesi hiyo jana ha
0 comments
Pages (26)1234567 Next
 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger