BREAKING NEWS: KLABU YA SIMBA SPORT CLUB YATIMUA MAKOCHA WAKE ABDALLAH KIBADENI NA MSAIDIZI WAKE, JAMHURI KIHWELU KISA....!!!!

Julio (kulia) na Kibadeni (kushoto) wameondolewa kazini. 

Julio na Kibadeni wameondolewa kazini baada ya kamati ya utendaji iliyokutana jana kufikia uamuzi kwamba wawili hao utendaji wao si sahihi.

Tayari Simba imekamilisha mazungumzo na kocha mwingine mzungu, si yule Bobby Willliamson ambaye aliandikwa na gazeti moja nchini kwamba ndiye kocha mpya wa Simba.
CREDIT GPL
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger