Julio (kulia) na Kibadeni (kushoto) wameondolewa kazini.
Julio na Kibadeni wameondolewa kazini
baada ya kamati ya utendaji iliyokutana jana kufikia uamuzi kwamba
wawili hao utendaji wao si sahihi.
Tayari Simba imekamilisha mazungumzo na
kocha mwingine mzungu, si yule Bobby Willliamson ambaye aliandikwa na
gazeti moja nchini kwamba ndiye kocha mpya wa Simba.
CREDIT GPL
Post a Comment