NAPE AZUNGUMZIA MSIMAMO WA CCM



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM-Lumumba Dar es Salaam. Alikuwa akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yahusuyo Mchakato wa Katiba mpya na kusema "tunaheshimu tume,tunaimani nayo na tunaahidi ushirikiano wa kutosha katika mchakato wa Katiba".
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. TANGA LEO - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger